Olmost
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 337
- 441
Habari za asubuhi wapendwa,
Jana nimeamka vzuri nkaenda kazini, nilivyorudi nikapata msosi wa mchana alafu nikaenda sehemu kusafisha nyumba kuna mtu anataka kuhamia, so kule nilikutana na vumbi kali sana na nikategemea baada ya hapo ni mafua kwa sana lakini nilianza kuumwa na kichwa upande wa kulia kidogokidogo kikiongezeka kadri muda unavyozidi kwenda, na usiku wa kuamkia leo sijalala maana kichwa kinauma sana na mpaka sasa asubuhi bado kinauma, kwa dalili hizi inaweza kuwa ni ugonjwa gani jamani?
Jana nimeamka vzuri nkaenda kazini, nilivyorudi nikapata msosi wa mchana alafu nikaenda sehemu kusafisha nyumba kuna mtu anataka kuhamia, so kule nilikutana na vumbi kali sana na nikategemea baada ya hapo ni mafua kwa sana lakini nilianza kuumwa na kichwa upande wa kulia kidogokidogo kikiongezeka kadri muda unavyozidi kwenda, na usiku wa kuamkia leo sijalala maana kichwa kinauma sana na mpaka sasa asubuhi bado kinauma, kwa dalili hizi inaweza kuwa ni ugonjwa gani jamani?