mzee wa ujiji Member Joined Jun 19, 2013 Posts 78 Reaction score 30 Jun 4, 2015 #1 Nimepima malaria mara nyingi kwenye hospital naambiwa sina malaria lakini kichwa kinauma sana,ndugu zangu naomba ushaur wenu
Nimepima malaria mara nyingi kwenye hospital naambiwa sina malaria lakini kichwa kinauma sana,ndugu zangu naomba ushaur wenu
cleokippo JF-Expert Member Joined Dec 21, 2014 Posts 2,118 Reaction score 1,797 Jun 6, 2015 #2 Kapime na macho pia, huenda ukawa na tatizo la macho
W winmulu Member Joined Apr 21, 2015 Posts 40 Reaction score 8 Jun 7, 2015 #3 si kila kichwa kikiuma ni malaria sometimes ukosefu tu wa maji! unakuumiza kichwa! ongea na doctor mzuri atakayekushauri si lazima apime malaria!
si kila kichwa kikiuma ni malaria sometimes ukosefu tu wa maji! unakuumiza kichwa! ongea na doctor mzuri atakayekushauri si lazima apime malaria!
U Undu JF-Expert Member Joined May 18, 2013 Posts 3,527 Reaction score 1,892 Jun 7, 2015 #4 Nenda pcmc clinic karibu na muhimbili utapimwa vipimo vya vep na baep vipimo vya kisasa kuangalia maumivu ya kichwa.
Nenda pcmc clinic karibu na muhimbili utapimwa vipimo vya vep na baep vipimo vya kisasa kuangalia maumivu ya kichwa.
Diva Beyonce JF-Expert Member Joined Mar 6, 2014 Posts 12,913 Reaction score 11,271 Jun 7, 2015 #5 Jitahidi kunywa maji mengi kwa siku ka lita Tatu huondoa hyo hali.
Raelish JF-Expert Member Joined Jul 17, 2013 Posts 489 Reaction score 162 Jun 7, 2015 #6 Sio mbaya ukicheck na ELISA test
white wizard JF-Expert Member Joined May 18, 2011 Posts 8,566 Reaction score 13,770 Jun 7, 2015 #7 heee!! mfafanulie bwana asije akafika huko, na kukiomba kipimo hicho, akatoka mbio!!hiyo ELISA TEST
Yegomasika JF-Expert Member Joined Mar 21, 2009 Posts 13,164 Reaction score 61,255 Jun 7, 2015 #8 mzee wa ujiji said: Nimepima malaria mara nyingi kwenye hospital naambiwa sina malaria lakini kichwa kinauma sana,ndugu zangu naomba ushaur wenu Click to expand... Inawezekana una migraine headache!.
mzee wa ujiji said: Nimepima malaria mara nyingi kwenye hospital naambiwa sina malaria lakini kichwa kinauma sana,ndugu zangu naomba ushaur wenu Click to expand... Inawezekana una migraine headache!.