JamboJema
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 1,143
- 209
Kwa muda sasa nimekuwa nasumbuliwa na miguu kuniuma, sehemu za katikati ya unyayo. Huuma kama vile kuna kitu chenye ncha kali kinanichoma. Napata shida hasa niamkapo asubuhi au nikiwa nimekaa kwa muda mrefu, nikiamka kutembea hujisikia maumivu sana.
Baada ya kulazimisha kutembea kwa muda huwa mzima tena. Naomba wajuzi mnipe msaada!
Baada ya kulazimisha kutembea kwa muda huwa mzima tena. Naomba wajuzi mnipe msaada!