Kuumwa tumbo kabla ya hedhi kwa muda mrefu

lenata

Member
Joined
Mar 24, 2016
Posts
9
Reaction score
1
Habari,

Naomba msaada jamani, mimi nina matatizo huwa naumwa tumbo tarehe 25 la blidi alafu blidi yenyewe naweza kuja kuingia kuanzia tarehe 6 alafu tarehe zinabadilika badilika.
 
Habari za saiz?naomba msaada jamani mi namatatizo hua na umwa tumbo kwanzia tarehe 25 la blid afu blidi yenyewe naweza kujakuingia kwanzia tarehe 6 af tarehe zinabadilika badilika
Una chango hapo mpaka upate mtoto mmoja ndio hiyo hali itaisha
 
Nilisha wai kuzaa tayari lakini tatizo bado afu ata mimba si shiki saizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…