jonas255
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 225
- 110
Ndugu zangu wana jamii foum mimi ni kijana wa miaka 27.... Juzi nimeamka asubuhi nikapatwa na mauivu kono wa kulia baadae ukaamia mkono wa kushoto na ukashka hadi kwenye viganja.... Nimeamka jana mkuu wa kulia umevimba sana na mgongo unauma maeneo ya chini...
Hili tatizo ni mara ya kwanza kunitokea je kuna mtu anaejua ni ugonjwa gani yaani siwezi hata kuamka kitandani
Hili tatizo ni mara ya kwanza kunitokea je kuna mtu anaejua ni ugonjwa gani yaani siwezi hata kuamka kitandani