Ndugu zangu wana jamii foum mimi ni kijana wa miaka 27.... Juzi nimeamka asubuhi nikapatwa na mauivu kono wa kulia baadae ukaamia mkono wa kushoto na ukashka hadi kwenye viganja.... Nimeamka jana mkuu wa kulia umevimba sana na mgongo unauma maeneo ya chini...
Hili tatizo ni mara ya kwanza kunitokea je kuna mtu anaejua ni ugonjwa gani yaani siwezi hata kuamka kitandani
Pole, inaweza kuwa ni ugonjwa unaitwa busela, ugonjwa huu unasababixhwa kwa kunywa maziwa ambayo hayajachemxhwa kwa muda kidogo, no vizuri ukatembelea vituo vya afya ukapata uxhauri na vipimo kwa ujumlaa, science nilifel,
Ndugu zangu wana jamii foum mimi ni kijana wa miaka 27.... Juzi nimeamka asubuhi nikapatwa na mauivu kono wa kulia baadae ukaamia mkono wa kushoto na ukashka hadi kwenye viganja.... Nimeamka jana mkuu wa kulia umevimba sana na mgongo unauma maeneo ya chini...
Hili tatizo ni mara ya kwanza kunitokea je kuna mtu anaejua ni ugonjwa gani yaani siwezi hata kuamka kitandani