Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
-
- #41
Unaweza kukarabati shule bila kutukana watu au kula rambirambiIle shule iliyokarabatiwa kwa mabilioni ya shilingi na yenyewe ni sehemu ya chuki na kejeli.
Mikoa mwanzoni iliundwa kwa kufuata mila na desturi za makabila yanayoshea mambo.acha ubishi,Mikoa haiundwi kuhifadhi mipaka ya kikabila bali kusogeza huduma kwa watu. Kupasuliwa Kagera kwenda mkoa mwingine hakumfanyi Muhaya kuwa Mbondei..atabaki na uhaya wake.
Kama unazungumzia shule ya Ihungo, Ilikarabatiwa kwa fedha za waingereza kama ufadhili.Ile shule iliyokarabatiwa kwa mabilioni ya shilingi na yenyewe ni sehemu ya chuki na kejeli.
Ndio mtindo wake wa maongezi hakuwa malaika. Kila rais anao upande mwema na mbaya, na ndio ukamilifu wa binadamu ulivyo.Unaweza kukarabati shule bila kutukana watu au kula rambirambi
By the way kukarabati shule ni jukumu la serikali siyo hisani, maana serikali inakusanaya kodi hata kutoka mkoani Kagera pia
Mikoa ya Katavi na Manyara ilianzaje? Wilaya za Mlele na Chalinze zilianzaje? Unajua Uwanja wa Ndege wa Songwe Mbeya ulijengwa kwa shinikizo la nani? Au mnnafikiri ninyi ndio mnajua sana kuliko wengine?Ila Magufuli alikua na roho ya ajabu sana,sishangai moyo wake kuwekewa umeme..."TOO SELFISH" ukifatilia historia ya kuanzishwa kwa wilaya ya Chato ni scenerio ile ile,alitumia ubabe na roho mbaya kulazimisha makao makuu yajengwe kwao.
Mbeya ni lzm uwepo uwanja kiuchumi ni sahihiMikoa ya Katavi na Manyara ilianzaje? Wilaya za Mlele na Chalinze zilianzaje? Unajua Uwanja wa Ndege wa Songwe Mbeya ulijengwa kwa shinikizo la nani? Au mnnafikiri ninyi ndio mnajua sana kuliko wengine?
Huku tunapambana muungano usivunjike upande mwingine wanataka kugawanya mikoaMagufuli alitaka kuunda mkoa nyumbani kwake kwa utashi tu binafsi bila kujali vigezo vyenye mantiki vya kuunda mkoa huo.
Yaani katika muendelezo wake wa "unyumbani" akavunja protokali zote za kimantiki na kivigezo katika kuubda mkoa mpya.
Leo hii mkoa wa Geita ni miongoni mwa mikoa michanga kabisa ambayo haina umri hata wa miaka 20, lakini cha ajabu yanaletwa mapendekezo ya kukata eneo kutoka mkoa huo kwenda kuunda mkoa mwingine—Ili iweje?
Lakini kibaya zaidi, Leo tunakwenda kukata eneo la mkoa ambao by all standards ni mkoa kongwe, wenye historia ndefu, Mkoa wa Kagera, uliobeba historia ya nchi hii kwa utamaduni wake mzuri, historia ya falme zake, lugha yake n. k tunakwenda kumegua eneo katika huo mkoa na kuunda mwingine tu ili kumpa mwendazake hitajio la moyo wake, bila kuangalia cultural-social dynamics za watu.
Tunajua Magufuli hakuwahi kuwapenda Wahaya, hata alipokuwa Waziri aliplay key role kwenye kuimega Chato kutoka mkoa wa Kagera.
Sasa hilo halikuishia hapo, leo tunakwenda kuimega Ngara na Biharamulo tena na kuiundia mkoa ili iweje?
Kama mnadhani kuunda mkoa ni kusogeza huduma kwa wananchi, basi uongezeeni bajeti mkoa wa Kagera na usogezeeni huduma ili huduma ziendelee kupatikana humohumo badala ya Kuumega mkoa huo.
Chato haina vigezo vya kuwa mkoa tunalazimisha mambo kumuenzi Marehemu bila kujali misingi ya utamaduni na historia za maingiliano ya watu wa maeneo husika.
Samia Iache Kagera kama ilivyo, ila Isogezee huduma zaidi!
Na huo ndio ukweli "ukweli lazima usemwe"Hiyo title inamtazamo finyu sana! Baada ya miaka 50+ ijayo hakutakuwa na mtu anayejiita pure kabila flani kwa sbb ya muingiliano (inter-trible marriages)! Faida ya kuwa na mkoa wa Chato unazidi vijihasara hivi vidogo visivyokuwa na faida yoyote kwa maisha ya kila siku ya watz! Chato itakuwa mkoa soon[emoji12]!
Mmmmh hapana Wahaya lugha yao haiingiliana kabisa na wasubu au waangaza...tena ungeenda nje kidogo yaani Kihaya kinaingiliana sana na Kiganda na Kinyankore (Uganda) kuliko kisubi au kihangazaIla lugha yao wanayoongea ni kama wahaya sema wamebase sana kwenye urundi.
Ihungo sec, hakuna hata senti ya serikali ulitumika kukarabati shule ya Ihungo usifikiri hatujui....Ile shule iliyokarabatiwa kwa mabilioni ya shilingi na yenyewe ni sehemu ya chuki na kejeli.
Balozi wa Tanzania nchini China, Mr. Kairuki ni kabila gani?Tunajua Magufuli hakuwahi kuwapenda Wahaya,
Huyo alisikia zile taarifa za kwenye makaratasi kuwa serikali imechangia katika gharama za ukarabati wa shule ya Ihungo....hakuna kitu ambacho hakikujulikana....hayati alikuwa na chuki za waziwazi kwa Wahaya jamani msibishi sana ....na ile Meli kama ingekuwa haihudumii maeneo ya Mwanza pia isingekarabatiwa kamwe....Unaweza kukarabati shule bila kutukana watu au kula rambirambi
By the way kukarabati shule ni jukumu la serikali siyo hisani, maana serikali inakusanaya kodi hata kutoka mkoani Kagera pia
Kwani ni mkoa upi haujabeba historia ya Tanzania? Watu wana-suggest kumegwa kwa mikoa ya Morogoro na Tabora ina maana haina umuhimu kwa taifa kama Kagera?Lakini kibaya zaidi, Leo tunakwenda kukata eneo la mkoa ambao by all standards ni mkoa kongwe, wenye historia ndefu, Mkoa wa Kagera, uliobeba historia ya nchi hii
Sio kila jambo ni serikali tuuuu hapana mkuu, wananchi pia wanaweza kuanzisha harambee kwa lengo la kufanya shughuli za maendeleo ndani ya eneo lao kama vile kukarabati majengo ya shule na vituo vya afya.kukarabati shule ni jukumu la serikali siyo hisani, maana serikali inakusanaya kodi hata kutoka mkoani Kagera pia