Wewe mama una matatizo makubwa,nani slikueleza kuwa wahaya wanashindana na makabila mengine kielimu?!!,,kama kusoma ni moja ya utamaduni na msisitizo kwa jamii za wahaya.Dadangu, kati ya makabila ninayoweza kuyaonea wivu au kuyachukia, wahaya lingekuwa la mwisho. mimi ni mwenyeji sana wa uhayani nawajua wahaya, nandio walinifundisha hata ile siku ya gulio..., you have nothing special in this country to stand above others. hamna chochote mnachoweza kuwaonea wivu. nikuulize mimi kama kabila mojawapo linaloonewa wivu, kama ni elimu, mmesoma kuliko wachaga? biashara hamjui, nashangaa hata mnavyong'ang'ana na ukabila wakati mnahitaji kusaidiwa na makabila mengine.
Wewe kabila lako tangu uhuru limetoa maprofesa wangapi?Dadangu, kati ya makabila ninayoweza kuyaonea wivu au kuyachukia, wahaya lingekuwa la mwisho. mimi ni mwenyeji sana wa uhayani nawajua wahaya, nandio walinifundisha hata ile siku ya gulio..., you have nothing special in this country to stand above others. hamna chochote mnachoweza kuwaonea wivu. nikuulize mimi kama kabila mojawapo linaloonewa wivu, kama ni elimu, mmesoma kuliko wachaga? biashara hamjui, nashangaa hata mnavyong'ang'ana na ukabila wakati mnahitaji kusaidiwa na makabila mengine.
Wewe kabila lako tangu uhuru limetoa maprofesa wangapi?
Au nianze hapa kuorodhesha maprofesa wahaya?
Sipendi ukabila lakini ukubali ukatae kabila la kihaya limetoa thinktank wa nchi hii kuliko kabila lako, kwa hilo peke yake kubali gepu tusasa mb
sasa mbona mpo nyuma kama masaburi ya nyani? bukoba ni masikini kupita kiasi na wengi wenu mmekalia tu mmesoma lakini hamna chochote mifukoni. mmesoma mpate mishahara? piga business nyie matoke.Wewe kabila lako tangu uhuru limetoa maprofesa wangapi?
Au nianze hapa kuorodhesha maprofesa wahaya?
Sipendi ukabila lakini ukubali ukatae kabila la kihaya limetoa thinktank wa nchi hii kuliko kabila lako, kwa hilo peke yake kubali gepu tu!😁😁😁😁
sasa mbona mpo nyuma kama masaburi ya nyani? bukoba ni masikini kupita kiasi na wengi wenu mmekalia tu mmesoma lakini hamna chochote mifukoni. mmesoma mpate mishahara? piga business nyie matoke. ndo maana nimesema mnafanana na ndizi tena ndizi matoke sijakosea. kama una akili ya aina hii?Wewe kabila lako tangu uhuru limetoa maprofesa wangapi?
Au nianze hapa kuorodhesha maprofesa wahaya?
Sipendi ukabila lakini ukubali ukatae kabila la kihaya limetoa thinktank wa nchi hii kuliko kabila lako, kwa hilo peke yake kubali gepu tu!😁😁😁😁
Relatively kulinganisha na jamii nyingine wahaya wanajitoshelezasasa mbona mpo nyuma kama masaburi ya nyani? bukoba ni masikini kupita kiasi na wengi wenu mmekalia tu mmesoma lakini hamna chochote mifukoni. mmesoma mpate mishahara? piga business nyie matoke. ndo maana nimesema mnafanana na ndizi tena ndizi matoke sijakosea. kama una akili ya aina hii?
Naunga mkono, ila sio katerero, kwani mkoa mmoja yakipatikana makabila mawili au matatu ni kosa ???Kuweka record sawa,Ngara na Bihalamuro sio maeneo ya Wahaya,Ngara kuna Waangaza na Biharamulo ni wasubi,mimi nasapoti hizo wilaya za Ngara na Bihalamuro zitoke Kagera ili mbaki wahaya peke yenu muwe mnapigana katerero vizuri🤣🤣🤣🤣
mhh, hebu ongelea na jinsi wahaya wanavyobagua makabila mengine ya mkoa wa kagera eg wahangaza na washubiMagufuli alitaka kuunda mkoa nyumbani kwake kwa utashi tu binafsi bila kujali vigezo vyenye mantiki vya kuunda mkoa huo.
Yaani katika muendelezo wake wa "unyumbani" akavunja protokali zote za kimantiki na kivigezo katika kuubda mkoa mpya.
Leo hii mkoa wa Geita ni miongoni mwa mikoa michanga kabisa ambayo haina umri hata wa miaka 20, lakini cha ajabu yanaletwa mapendekezo ya kukata eneo kutoka mkoa huo kwenda kuunda mkoa mwingine—Ili iweje?
Lakini kibaya zaidi, Leo tunakwenda kukata eneo la mkoa ambao by all standards ni mkoa kongwe, wenye historia ndefu, Mkoa wa Kagera, uliobeba historia ya nchi hii kwa utamaduni wake mzuri, historia ya falme zake, lugha yake n. k tunakwenda kumegua eneo katika huo mkoa na kuunda mwingine tu ili kumpa mwendazake hitajio la moyo wake, bila kuangalia cultural-social dynamics za watu.
Tunajua Magufuli hakuwahi kuwapenda Wahaya, hata alipokuwa Waziri aliplay key role kwenye kuimega Chato kutoka mkoa wa Kagera.
Sasa hilo halikuishia hapo, leo tunakwenda kuimega Ngara na Biharamulo tena na kuiundia mkoa ili iweje?
Kama mnadhani kuunda mkoa ni kusogeza huduma kwa wananchi, basi uongezeeni bajeti mkoa wa Kagera na usogezeeni huduma ili huduma ziendelee kupatikana humohumo badala ya Kuumega mkoa huo.
Chato haina vigezo vya kuwa mkoa tunalazimisha mambo kumuenzi Marehemu bila kujali misingi ya utamaduni na historia za maingiliano ya watu wa maeneo husika.
Samia Iache Kagera kama ilivyo, ila Isogezee huduma zaidi!
Itakuwa ni kituko cha mwaka yaani wanaacha Mikoa mikubwa kama Tanga,Tabora na MorogoroMagufuli alitaka kuunda mkoa nyumbani kwake kwa utashi tu binafsi bila kujali vigezo vyenye mantiki vya kuunda mkoa huo.
Yaani katika muendelezo wake wa "unyumbani" akavunja protokali zote za kimantiki na kivigezo katika kuubda mkoa mpya.
Leo hii mkoa wa Geita ni miongoni mwa mikoa michanga kabisa ambayo haina umri hata wa miaka 20, lakini cha ajabu yanaletwa mapendekezo ya kukata eneo kutoka mkoa huo kwenda kuunda mkoa mwingine—Ili iweje?
Lakini kibaya zaidi, Leo tunakwenda kukata eneo la mkoa ambao by all standards ni mkoa kongwe, wenye historia ndefu, Mkoa wa Kagera, uliobeba historia ya nchi hii kwa utamaduni wake mzuri, historia ya falme zake, lugha yake n. k tunakwenda kumegua eneo katika huo mkoa na kuunda mwingine tu ili kumpa mwendazake hitajio la moyo wake, bila kuangalia cultural-social dynamics za watu.
Tunajua Magufuli hakuwahi kuwapenda Wahaya, hata alipokuwa Waziri aliplay key role kwenye kuimega Chato kutoka mkoa wa Kagera.
Sasa hilo halikuishia hapo, leo tunakwenda kuimega Ngara na Biharamulo tena na kuiundia mkoa ili iweje?
Kama mnadhani kuunda mkoa ni kusogeza huduma kwa wananchi, basi uongezeeni bajeti mkoa wa Kagera na usogezeeni huduma ili huduma ziendelee kupatikana humohumo badala ya Kuumega mkoa huo.
Chato haina vigezo vya kuwa mkoa tunalazimisha mambo kumuenzi Marehemu bila kujali misingi ya utamaduni na historia za maingiliano ya watu wa maeneo husika.
Samia Iache Kagera kama ilivyo, ila Isogezee huduma zaidi!
Biharamulo na Ngara hakuna Wahaya lakini hata kama wangekuwepo hamna shida kama lengo ni zuriMagufuli alitaka kuunda mkoa nyumbani kwake kwa utashi tu binafsi bila kujali vigezo vyenye mantiki vya kuunda mkoa huo.
Yaani katika muendelezo wake wa "unyumbani" akavunja protokali zote za kimantiki na kivigezo katika kuubda mkoa mpya.
Leo hii mkoa wa Geita ni miongoni mwa mikoa michanga kabisa ambayo haina umri hata wa miaka 20, lakini cha ajabu yanaletwa mapendekezo ya kukata eneo kutoka mkoa huo kwenda kuunda mkoa mwingine—Ili iweje?
Lakini kibaya zaidi, Leo tunakwenda kukata eneo la mkoa ambao by all standards ni mkoa kongwe, wenye historia ndefu, Mkoa wa Kagera, uliobeba historia ya nchi hii kwa utamaduni wake mzuri, historia ya falme zake, lugha yake n. k tunakwenda kumegua eneo katika huo mkoa na kuunda mwingine tu ili kumpa mwendazake hitajio la moyo wake, bila kuangalia cultural-social dynamics za watu.
Tunajua Magufuli hakuwahi kuwapenda Wahaya, hata alipokuwa Waziri aliplay key role kwenye kuimega Chato kutoka mkoa wa Kagera.
Sasa hilo halikuishia hapo, leo tunakwenda kuimega Ngara na Biharamulo tena na kuiundia mkoa ili iweje?
Kama mnadhani kuunda mkoa ni kusogeza huduma kwa wananchi, basi uongezeeni bajeti mkoa wa Kagera na usogezeeni huduma ili huduma ziendelee kupatikana humohumo badala ya Kuumega mkoa huo.
Chato haina vigezo vya kuwa mkoa tunalazimisha mambo kumuenzi Marehemu bila kujali misingi ya utamaduni na historia za maingiliano ya watu wa maeneo husika.
Samia Iache Kagera kama ilivyo, ila Isogezee huduma zaidi!
Pesa zinazokwenda kwenye hizo wilaya zinanufaisha mkoa mzima wa Kagera, kuziondoa siyo afya kwa mkoa wa kageraBiharamulo na Ngara hakuna Wahaya lakini hata kama wangekuwepo hamna shida kama lengo ni zuri
Tukisema mkoa wa uundwe Chato ikiwemo na uitwe Biharamulo au mkoa wa Ngara au Chato wilaya ipelekwe Kagera utakataa bado ? Acha ukabila. ailikua Haipendi Kagera aliwaambia ? Nyinyi mlikua mnampenda sana? Hadi mkamnyima ubunge mara mbili.Magufuli alitaka kuunda mkoa nyumbani kwake kwa utashi tu binafsi bila kujali vigezo vyenye mantiki vya kuunda mkoa huo.
Yaani katika muendelezo wake wa "unyumbani" akavunja protokali zote za kimantiki na kivigezo katika kuubda mkoa mpya.
Leo hii mkoa wa Geita ni miongoni mwa mikoa michanga kabisa ambayo haina umri hata wa miaka 20, lakini cha ajabu yanaletwa mapendekezo ya kukata eneo kutoka mkoa huo kwenda kuunda mkoa mwingine—Ili iweje?
Lakini kibaya zaidi, Leo tunakwenda kukata eneo la mkoa ambao by all standards ni mkoa kongwe, wenye historia ndefu, Mkoa wa Kagera, uliobeba historia ya nchi hii kwa utamaduni wake mzuri, historia ya falme zake, lugha yake n. k tunakwenda kumegua eneo katika huo mkoa na kuunda mwingine tu ili kumpa mwendazake hitajio la moyo wake, bila kuangalia cultural-social dynamics za watu.
Tunajua Magufuli hakuwahi kuwapenda Wahaya, hata alipokuwa Waziri aliplay key role kwenye kuimega Chato kutoka mkoa wa Kagera.
Sasa hilo halikuishia hapo, leo tunakwenda kuimega Ngara na Biharamulo tena na kuiundia mkoa ili iweje?
Kama mnadhani kuunda mkoa ni kusogeza huduma kwa wananchi, basi uongezeeni bajeti mkoa wa Kagera na usogezeeni huduma ili huduma ziendelee kupatikana humohumo badala ya Kuumega mkoa huo.
Chato haina vigezo vya kuwa mkoa tunalazimisha mambo kumuenzi Marehemu bila kujali misingi ya utamaduni na historia za maingiliano ya watu wa maeneo husika.
Samia Iache Kagera kama ilivyo, ila Isogezee huduma zaidi!
kwanza hizo cultural heritage ndizo hatuzihitaji kabisa hapa Tanzania, tunahitaji Tanzanian heritage. wahaya mkitaka kuwa wakabila sana undeni nchi yenu muiite katerero na sura zenu zinafanana na ndizi.Tukisema mkoa wa uundwe Chato ikiwemo na uitwe Biharamulo au mkoa wa Ngara au Chato wilaya ipelekwe Kagera utakataa bado ? Acha ukabila. ailikua Haipendi Kagera aliwaambia ? Nyinyi mlikua mnampenda sana? Hadi mkamnyima ubunge mara mbili.
Culture heritage huwa haipotezwi na cultural integration. Ndio maana Dar ni ya wazaramo na washwahil lakin imejaa kila aina ya makabila na bado ipo tu na inaendelea
Ubaguzi nyinyi ndio mnauplay role vizuri. Hata viongozi wa kutoka pahala pengine huwa hamuwataki mnawaita wahamiaji same played kwa wabunge na madiwani hadi wakiwa wengi wakiwameza ndio huwa mnarudi mezani. Sasa kama kumbe mlikua mnambagua na kumuita mrundi mlitegemea awapende tu wakati hammpendi na mlikua hammhitajiMagufuli alikuwa anachukia Wahaya kwa sababu tangu ujanani walikuwa wakimuita "Mushuti" - Yaani Mrundi
Alikuwa na chuki na Uhaya, tangu alipofanya figisu kuichomoa Chato kutoka katika mkoa wa Kagera ni muendelezo wake wa kutaka kujidistance kutoka katika influence na cultural dominance ya wahaya katika hiyo region.
Na chuki yake mliishuhudia baada ya tetemeko.
Samia aachane na idea hii ya Mkoa wa Chato, haina mantiki
kuunda mkoa wa chato ni muhimu sana ili kupunguza makali ya uhaya/ukabila.watz tunapaswa kuwa kitu kimoja na siyo kuwa na uhaya/unyamahanga.Magufuli alitaka kuunda mkoa nyumbani kwake kwa utashi tu binafsi bila kujali vigezo vyenye mantiki vya kuunda mkoa huo.
Yaani katika muendelezo wake wa "unyumbani" akavunja protokali zote za kimantiki na kivigezo katika kuubda mkoa mpya.
Leo hii mkoa wa Geita ni miongoni mwa mikoa michanga kabisa ambayo haina umri hata wa miaka 20, lakini cha ajabu yanaletwa mapendekezo ya kukata eneo kutoka mkoa huo kwenda kuunda mkoa mwingine—Ili iweje?
Lakini kibaya zaidi, Leo tunakwenda kukata eneo la mkoa ambao by all standards ni mkoa kongwe, wenye historia ndefu, Mkoa wa Kagera, uliobeba historia ya nchi hii kwa utamaduni wake mzuri, historia ya falme zake, lugha yake n. k tunakwenda kumegua eneo katika huo mkoa na kuunda mwingine tu ili kumpa mwendazake hitajio la moyo wake, bila kuangalia cultural-social dynamics za watu.
Tunajua Magufuli hakuwahi kuwapenda Wahaya, hata alipokuwa Waziri aliplay key role kwenye kuimega Chato kutoka mkoa wa Kagera.
Sasa hilo halikuishia hapo, leo tunakwenda kuimega Ngara na Biharamulo tena na kuiundia mkoa ili iweje?
Kama mnadhani kuunda mkoa ni kusogeza huduma kwa wananchi, basi uongezeeni bajeti mkoa wa Kagera na usogezeeni huduma ili huduma ziendelee kupatikana humohumo badala ya Kuumega mkoa huo.
Chato haina vigezo vya kuwa mkoa tunalazimisha mambo kumuenzi Marehemu bila kujali misingi ya utamaduni na historia za maingiliano ya watu wa maeneo husika.
Samia Iache Kagera kama ilivyo, ila Isogezee huduma zaidi!
Na hawa jamaa uchief chief zones wao walitakaga kujiundia ka kingdom kao then kanchi. Na wao ndio ilikuaga moja ya sababu Nyerere kufuta Uchief na akawasideline kwenye serikali kwa muda....,wakaja kudanganywa na Idd Amin Dada kuwa awasogeze then awapatie Haya Kingdom kama zilivojaa Uganda.kwanza hizo cultural heritage ndizo hatuzihitaji kabisa hapa Tanzania, tunahitaji Tanzanian heritage. wahaya mkitaka kuwa wakabila sana undeni nchi yenu muiite katerero na sura zenu zinafanana na ndizi.
si bora wamebaki huku tumewafundisha na kukata magovi,Na hawa jamaa uchief chief zones wao walitakaga kujiundia ka kingdom kao then kanchi. Na wao ndio ilikuaga moja ya sababu Nyerere kufuta Uchief na akawasideline kwenye serikali kwa muda....,wakaja kudanganywa na Idd Amin Dada kuwa awasogeze then awapatie Haya Kingdom kama zilivojaa Uganda.
Ile Vita ya Kagera fuatilia wahaya wengi walikua wanaisupport wajikate Tanzania wapelekwe Uganda then wajitawale bila kujua kuwa walikuwa wanahadaiwa. Waliposoma soma na kwenda Ulaya huko ndio wakawa wanakuja na mawazo Butu.
Kwa maoni yangu hapa suala la msingi sio kupoteza historia ya wahaya, wahaya ni watu wanaojipambanua kwa usomi na uchapakazi wao ila kikubwa tutazame manufaa yapi yatapatikana kutokana na kuundwa kwa mkoa wa chato mambo mengine ni masuala madogo sana ukizingatia watanzania kwa sasa tumeshakuwa watu wenye mwingiliano mkubwa sana katika nyanja mbalimbali.kuunda mkoa wa chato ni muhimu sana ili kupunguza makali ya uhaya/ukabila.watz tunapaswa kuwa kitu kimoja na siyo kuwa na uhaya/unyamahanga.