Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ya nchu hii ni kichwa cha mwendawazimu bro..Mimi na elimu yangu ya pangu pakavu kichwani nina plan kibao ambazo kutokana na Rasilimali zilizopo nchi hii zinaweza kurahisisha suala la usfirishaji wa mizigo kiurahisi kwenda Congo..lakini huwezi kuta wanauchumi wanajadili hiki kitu pamoja na kwamba Congo drc ni mdau mkubwa sana katika kuimarisha uchumi wa nchi hiiNaomba kujua hii serikali ya sasa inaendeleaje na mkakati wa kuunganisha DR Congo na Tanzania Ili mizigo ya DR Congo isipitie Zambia Bali ipitie Tanzania na kufika DR Congo kupitia Sumbawanga
Karema... KalemieSio kupitia Sumbawanga ni kupitia Katavi bandari ya Karema.
Bandari ya Karema imeshakamilika kwa sasa
Acha porojo zisizo na msingi,jiografia ipi hiyo itakayofanya mizigo ya kwenda Lubumbashi ipite Sumbawanga?Naomba kujua hii serikali ya sasa inaendeleaje na mkakati wa kuunganisha DR Congo na Tanzania Ili mizigo ya DR Congo isipitie Zambia bali ipitie Tanzania na kufika DR Congo kupitia Sumbawanga
Hata ikikamilika kama upande wa pili hakuna Usalama ni Kazi bureSio kupitia Sumbawanga ni kupitia Katavi bandari ya Karema.
Bandari ya Karema imeshakamilika kwa sasa
Vyote 2 ni Vijijini,Bora tungekaza njia ya kwenda Goma,Butembo,Uvira nk ila sio hivyo Vijijini umevitaja hakuna kitu hukoKarema... Kalemie
KALEMA jirani na Ikola kuhe wa kutosha......Sio kupitia Sumbawanga ni kupitia Katavi bandari ya Karema.
Bandari ya Karema imeshakamilika kwa sasa
Wewe lazima utakuwa mjumbe wa TRAB&TRAT. Ukisha vimbiwa tozo hata akili hutumii maana hufikiriiHata ikikamilika kama upande wa pili hakuna Usalama ni Kazi bure
Nyie nae tumewachoka utafikiri katiba ya sasa sio ya Tanzania kila mada ikiwekwa hapo oohh rasimu irudi rasimu vile.."Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe katiba Mpya"
"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe katiba Mpya"Nyie nae tumewachoka utafikiri katiba ya sasa sio ya Tanzania kila mada ikiwekwa hapo oohh rasimu irudi rasimu vile..
Ni vijiji vya wapi nimetaja? Muunganiko wa Karema na Kelemie unaujue vizuri?Vyote 2 ni Vijijini,Bora tungekaza njia ya kwenda Goma,Butembo,Uvira nk ila sio hivyo Vijijini umevitaja hakuna kitu huko
Kuna bandari ya Kipiri haifanyi kazi yoyote ,kirando ni kiungo muhimu Sana kwa mizigo ya kongo(Moba) kupitia pale kwenda kipiri na kwenda kongo kuliko kutumia karema ambapo ni mbali Sana na wakati huo kuna bandari ya kabwe.Sio kupitia Sumbawanga ni kupitia Katavi bandari ya Karema.
Bandari ya Karema imeshakamilika kwa sasa
EeeeenHeeee Heeee! Malindi Kenya hadi BagamoyoNaomba kujua hii serikali ya sasa inaendeleaje na mkakati wa kuunganisha DR Congo na Tanzania Ili mizigo ya DR Congo isipitie Zambia bali ipitie Tanzania na kufika DR Congo kupitia Sumbawanga
Viongoz wengi wana feli hapo tuSerikali ya nchu hii ni kichwa cha mwendawazimu bro..Mimi na elimu yangu ya pangu pakavu kichwani nina plan kibao ambazo kutokana na Rasilimali zilizopo nchi hii zinaweza kurahisisha suala la usfirishaji wa mizigo kiurahisi kwenda Congo..lakini huwezi kuta wanauchumi wanajadili hiki kitu pamoja na kwamba Congo drc ni mdau mkubwa sana katika kuimarisha uchumi wa nchi hii
Mizigo ikianza kupita pale watatengeneza tuOkay wacha nikueleweshe plan ya america walitoa hela kutengeneza lami ya tdm sumbawanga then kasanga! Huko kote tumejenga imebaki km chache matai to kasanga port, pale ilitakiwa iwe ferries za maana kuvuka ziwa halafu upande wa Kongo nao wapige lami mpaka Lubumbashi!
Sasa kilichotokea upande wetu tumefanya vizuri mno cause tumebaki na kama km 30/40 tuu sasa ba Kongo aisee walikula hela hawajafanya lolote! Kwao ilitakiwa watengeneze km kama 500 hivi sasa jamaa hata km Moja hawajatengeneza!