Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Naonaga tuuu mitandaoni tunakuunganisha vifurishi mpaka gb 100 kwa mwezi mara miezi ..hivi inaukweli kiasi gani!!?? Maana halinni tete
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naonaga tuuu mitandaoni tunakuunganisha vifurishi mpaka gb 100 kwa mwezi mara miezi ..hivi inaukweli kiasi gani!!?? Maana halinni tete
Wengine ni wakweli,kuna mmoja humu alikwa ananiunganishia voda GB kibao nafanyia kazi mpaka nachoka.Baadaye yeye mwenyewe akanambia imefika mwisho.Hakunitaoeli hata mia na akiniunganishia kwa mwaka mzima.Acha ufala, utatapeliwa hutasahau. Matapeli hao Achana nao
Wengine ni wakweli,kuna mmoja humu alikwa ananiunganishia voda GB kibao nafanyia kazi mpaka nachoka.Baadaye yeye mwenyewe akanambia imefika mwisho.Hakunitaoeli hata mia na akiniunganishia kwa mwaka mzima.