Wamenipa dawa ya kupaka aina ya Burnox, amoxicillin na panado,kwa hiyo Kama kuna dawa nyingine zaidi zenye ubora nisaidie
First thing trust daktari aliyempa huduma mtoto. Kwani hizo zimeshafail?Wamenipa dawa ya kupaka aina ya Burnox, amoxicillin na panado,kwa hiyo Kama kuna dawa nyingine zaidi zenye ubora nisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo mi nimeshangaa hapa.
Tatizo ma doctor wa google ni wengi siku hizi,mitaani huko kila mtu ni daktari.First thing trust daktari aliyempa huduma mtoto. Kwani hizo zimeshafail?
Hawa wazazi wa siku hizi wakoje? Yaani unaona mwanao kama hatopona? Ni huruma sana au mapenzi kupitiliza au ni ulimbukeni wa kuzaa watoto.
Mimi mgonjwa akija kwangu lazima nihoji kama kuna dawa ametumia zimegoma
Kwa sababu alyempa dawa naye ni dakatari na alitumia opinions zake za kitabibu. Naheshimu kazi yake hata kama haikufanikiwa.
Trust me. I am a doctor
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana sina hisiya hizoSasa mama/ baba hospitali umeenda umepewa dawa unataka tena dawa zingine si utamchosha anko wetu kwa kumpa dawa nyingi kuliko umri?
Kwani unahisi kalogwa?