Wanaitwa carriesLabda anae tumia dawa,au Ngono iwe ya kistarabu kama unafanya kukomesha wafwaa [emoji23]na kuna watu wanakaa na virus hata miaka mitano na hawana ukimwi, yani yuko na HIV lakin Hana AIDS hasa wanawake
Always jilinde, but hili upate ukimwi kwa ngono unatakiwa utembee na wanawake 120 wenye ukimwi kati yao ni mmoja tu ndie anaweza kukuambukizaHivi ni kweli unaweza ukafanya mapenzi bila kutumia kinga na mdada aliye asirika na
Usipate ukimwi??
.
Maana kuna kesi kadha wa kadha zimewahi ripotiwa
Kuhusu waliowah kupata kweli na kundi lingine hawakuwah kupata kabisa
Conditions hapa zinakuwa ni zipi???
Sent using Jamii Forums mobile app
usijidanganye mkuu kuwa makiniUkimwi hauna nguvu siku hizi
ChaiAlways jilinde, but hili upate ukimwi kwa ngono unatakiwa utembee na wanawake 120 wenye ukimwi kati yao ni mmoja tu ndie anaweza kukuambukiza
Hayo maluweluwe ni kwa muda tu baadae unazoeaJichanganye Mkuu pale utakapo ambiwa leta kidole ulicho sajilia namba ya NiDA Kisha tukuunganishe kwenye Mfumo baada ya apo inabidi uchague muda mzuri wa kunywa dawa tena inabidi Kila siku uwe unakunywa kwa wakati uliochagua
Kwa ushauri tuu Mkuu Inabidi uwe unakunywa saa nne usiku maana utakuwa umekula tayali pia upumzike Kisha ukutane na maluelue ya usiku Kisha ukiamka asubuhi unasikia njaa kama yote lkn uwezi toka kitandan maana unasikia kizunguzungu ivyo utaletewa chakula kitandani Kisha saa nne asubuhi uamke baada ya kizunguzungu kuisha
Kila lakheli
Mpaka utakapo kupata wewe binafsi..ila kwa ujumla walaaaahh...hata hauna nguvuUkimwi hauna nguvu siku hizi
mkuu acha siasa usifananishe ukimwi na mafua, huo ni ugonjwa hatari kabisa maana hadi sasa hamna tiba wala chanjo.Ukimwi hauna nguvu siku hizi
Issue ni blood exchange au maji maji ni rahis kupata ukimw ukiwa na dudu kubwa na uke mkavu na unaibana hasa wa hivi vitoto vya 2000Hivi ni kweli unaweza ukafanya mapenzi bila kutumia kinga na mdada aliye asirika na
Usipate ukimwi??
.
Maana kuna kesi kadha wa kadha zimewahi ripotiwa
Kuhusu waliowah kupata kweli na kundi lingine hawakuwah kupata kabisa
Conditions hapa zinakuwa ni zipi???
Sent using Jamii Forums mobile app
Tiba ipo kuna babu yangu anavitoa hivo virusi vizuri tu! Ila hataki hafahamike. Hili naongea nikiwa serious na ushaidi upo. Na anakuambia kapime kabisa na anakusindikiza..!mkuu acha siasa usifananishe ukimwi na mafua, huo ni ugonjwa hatari kabisa maana hadi sasa hamna tiba wala chanjo.
ukiupata saivi kitachokuweka hai ni ivo vidonge vya kufubaza ambavyo utameza milele au hadi dawa ipatikane. ukiacha kumeza unaondoka.