KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,804
- 12,227
- Thread starter
-
- #21
Kwani wazuri wanaisha mkuu?
Hata km utaruhusiwa kuoa mke wa pili,say wewe ni ustaadhi,utakichukua hicho kifaa kiwe namba 2,na utashangaa wakati wa harusi ya mke wa pili utakiona kifaa kingine kikali zaidi kikitoa zawadi,utaamua kuoa wa tatu wakati wa harusi ya tatu utagundua wote watatu ni cha mtoto...kuna mtoto mkali ameonekana hapo ukumbini......zoezi litajirudia....baadae ndo unaanza kupiga uko kwa uko...ngoma nayo inatia timu....kinachofatia ,unajua mwenyewe.
la msingi ni kuridhika...
hahahahaah kaka jambazi umenichekesha kweli !
lakini sidhani kama ina ukweli wowote labda imetokea kwako
1stlady huwa inatokeaga ila watu wanaugulia maumivu tu, hata humu jf,, ila hawataweza kuwa wazi ka mimi.
Bonge ya point mydear.Kwanza kabisa utakuwa hata hustahili kuoa kwani hizo ni akili za kitoto hufai kupewa majukumu ya kibaba.
Hivi unaoa miguu shingo,dimpoz au unaoa mke?
Na unaoa kuonyesha watu au mnakuwa mmependana mpaka kufikia uamuzi huo?
Ndoa sio kidali poo ukajifanya kuingia wakati haupo tayari.Hata huyo mwanamke umuoe awe kama Kleopatra jinsi siku zinavtoenda atabadilika tu kutokana na maumbile/bailojia.Isitoshe anaweza hata kupata ajali na kuwa kilema.sijui utafanyaje?
Dah una hatari sana! nakusikitikia.
leo watu mmeamkia upande gani wa kitanda? ngoja na mi nifikirie thread ya kuanzisha lol!
1stlady huwa inatokeaga ila watu wanaugulia maumivu tu, hata humu jf,, ila hawataweza kuwa wazi ka mimi.
Maji ukiyavulia nguo unapaswa kuyaoga tu hakuna cha passport size umeamua kufanya kwa nn ujilaumu?
Jee unaoa figure,dimble, sura au miguu??????Maharusi wengi (Bi au Bw) huwa wanagundua wamechemka siku ya harusi yao.
Mzee mzima unaweza ukakiona kitu kikali , mguu mguu, shingo shingo, mgongo mgongo,,,dimpo dimpoz,,,,,,na ukaanza kujilaumu kwanini umeoa mapema kabla ya kufanya uchunguzi wa kina.
Hii hutokea hasa ukumbini wakati wa kutolewa zawadi au wale mabinti warembo wanaovaaga sare.
Hii pia inaaply hata kwa ma bi harusi, nao eti huwa wanaonaga vifua walivyokua wanavitamani ,mahandsome wa ukweli ukumbini na huishia kuugulia maumivu ya ndani kwa ndani.
Ivi hali hii ikikutokea unawezaje kuisovu wakati ushafunga harusi mda fupi uliopita??
KakaJambazi;
...kwani watoto wazuri huja siku nya harusi yako tu? nina imani kabla ya hiyo siku nawe ulihudhuria harusi za wengine, na mambo yaleyale ya mgongo mgongo, pua pua, sikio sikio, jicho jicho uliyaona. Si ungefanya uchaguzi huko huko ili siku ya harusi yako ukenue tu meno kwa kufurahia kitu bora ulichopata?
Jee unaoa figure,dimble, sura au miguu??????
sijui kama inaweza kutokea hiyo, labda kama ndoa ni ya kulazimisha hamjapena kwa dhati. my self kwenye ndoa yangu sikuwa namtizama mtu mara 2 isipokuwa my hb.Maharusi wengi (Bi au Bw) huwa wanagundua wamechemka siku ya harusi yao.
Mzee mzima unaweza ukakiona kitu kikali , mguu mguu, shingo shingo, mgongo mgongo,,,dimpo dimpoz,,,,,,na ukaanza kujilaumu kwanini umeoa mapema kabla ya kufanya uchunguzi wa kina.
Hii hutokea hasa ukumbini wakati wa kutolewa zawadi au wale mabinti warembo wanaovaaga sare.
Hii pia inaaply hata kwa ma bi harusi, nao eti huwa wanaonaga vifua walivyokua wanavitamani ,mahandsome wa ukweli ukumbini na huishia kuugulia maumivu ya ndani kwa ndani.
Ivi hali hii ikikutokea unawezaje kuisovu wakati ushafunga harusi mda fupi uliopita??
The Following 2 Users Say Thank You to Masaki For This Useful Post:Kwani unaoa mke au unaoa dimpoz na mguu wa bia? Mke ni zaidi ya mguu wa bia na dimpoz mkuu! 🙂