Kuuawa kwa Wanajeshi wetu wawili Congo. Je, kuna haja ya TISS na JWTZ kuiga utendaji wa MOSSAD na Jeshi la Israel?

Kuuawa kwa Wanajeshi wetu wawili Congo. Je, kuna haja ya TISS na JWTZ kuiga utendaji wa MOSSAD na Jeshi la Israel?

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Kati wa watu wanaothamini sana uhai wa watu wao hapa duniani ni Israel. Ikitokea raia wa Israel au Mwanajeshi wa Israel amefariki kwenye mapigano au tukio lolote lile la Kigaidi haijalishi inapita muda gani, Israel ni lazima walipize kuuliwa kwa mtu wao.

Tabia hii ya Israel inapekea sio tu kuheshimiwa na mahasimu wao bali kuogopewa sana duniani katika medani za intelejensia na vita. Shirika lao la Ujasusi (MOSSAD) pamoja na vikosi vya jeshi lao wanafahamika sana kwa kutekeleza mission mbalimbali kwa ajili kulipiza vifo vya watu wao ili kutuma ujumbe kuwa wao sio watu wa kawaida.

Sote tumesikia kuwa Wanajeshi wetu 2 wameuwawa huko Congo pamoja na wengine 25 kujeruhiwa. Mauaji hayo yamefanywa na wanamgambo wa M23 ambao wanaungwa mkono na Rwanda.

Mbaya zaidi tumesikia kuwa Rwanda imefanya vitendo vya kuwadhalilisha kisaikolojia wanajeshi wetu wakati wanavuka mpaka wakiwa na Wanajeshi wa SADC ambao pia wamejeruhiwa kwa kuwachelewesha masaa kadhaa mpakani.

Baada ya matukio haya ambao sio tu yameliumiza Jeshi letu bali Watanzania wote tunaoipenda na kuijali kweli nchi yetu, Swali langu ni Je, kuna haja kwa Shirika letu la Ujasusi na Jeshi letu kulipa kisasi kutokana na mauaji na kujeruhiwa kwa ndugu zetu kama wanavyofanya Mossad na IDF?

Hawaoni kuna haja ya kufanya hivyo au ndo tumeshakubali rasmi sasa kuwa Rwanda ndo mtabe wa Afrika kwamba tumemshindwa na wanaomuweza ni Wazungu tu?
 
kulipa kisasi kwa kuuwawa kwa Wanajeshi wetu.
Maji ukishayavulia Nguo, huna budi kuchutama.

Hayo wameyataka wao wenyewe.

Tumekuwa tukishauri Sana hapa mtandaoni kwamba Wanajeshi wa nchi yetu warudi nyumbani ili waje kuimarisha ulinzi kwenye mipaka ya nchi yetu hii, lakini inavyoonekana Watawala wa nchi hawataki kusikia ushauri wetu huo. Matokeo yake ndio haya sasa.

"Aonywaye Mara nyingi naye hushupaza shingo, huvunjika ghafla na hakuna dawa tena."
(Mithali 29: 1)

Kama ni suala la Kulinda Amani, basi Jeshi linapaswa kupeleka Wanajeshi wake katika nchi za mbali, lakini siyo kwenda kulinda amani katika nchi ambazo ni majirani zetu. Hii ni hatari kubwa sana kwa Usalama wa nchi. Wanajeshi Wapiganaji wa Vikosi vya Kulinda amani vinapaswa kupelekwa katika nchi za mbali huko Kama vile kwa mfano Pakistan, Lebanon, Mynmar, Haiti, n.k.

All in all, Wanajeshi wetu wanapaswa kupelekwa kwenda kulinda amani katika nchi zingine lakini muda wote kabisa wanapaswa wasimame katika Upande wa HAKI. Wasiende huko ili kwenda kuwatetea au kuungana na Watawala wa huko ambao ni Wadhalimu. Ujumbe wa Kulinda Amani usititumwe ili kwenda kusaidia au kuungana na upande wa Wadhalimu.

Daima Tukumbuke kwamba 'ukiungana na Wadhalimu basi tambua kwamba Wapenda HAKI hawatakuwa upande wako.'
 
kulipa kisasi kwa kuuwawa kwa Wanajeshi wetu.
Wanajeshi wetu walikuwa wanalinda maslahi ya nani? Kama taifa tulikuwa na taarifa kuwa tuko vitani?
Kuna nationalism kwa majority ya raia? Ni kama wengine wako sidelined katika ugawanaji keki ya taifa ila mnataka muwavalishe wote gunia la responsibilities za revenge huku keki 'openly' ikiliwa na wachache.
Huyo unayewaza kumuendea kwa MOSSAD style ni mbobezi katika mambo hayo, do your research utagundua ni kitu gani kinachomfanya ajiamini. Iwe conventional au non-conventional means jamaa ni MAFIOSO mbobezi, Nyerere ndiyo aliweza mbinu hizo na kulikuwa na uzalendo to the extent that the majority of the population walikuwa tayari ku-sacrifice kwa lolote.
 
Kati wa watu wanaothamini sana uhai wa watu wao hapa duniani ni Israel. Ikitokea raia wa Israel au Mwanajeshi wa Israel amefariki kwenye mapigano au tukio lolote lile la Kigaidi haijalishi inapita muda gani, Israel ni lazima walipize kuuliwa kwa mtu wao.

Tabia hii ya Israel inapekea sio tu kuheshimiwa na mahasimu wao bali kuogopewa sana duniani katika medani za intelejensia na vita. Shirika lao la Ujasusi (MOSSAD) pamoja na vikosi vya jeshi lao wanafahamika sana kwa kutekeleza mission mbalimbali kwa ajili kulipiza vifo vya watu wao ili kutuma ujumbe kuwa wao sio watu wa kawaida.

Sote tumesikia kuwa Wanajeshi wetu 2 wameuwawa huko Congo pamoja na wengine 25 kujeruhiwa. Mauaji hayo yamefanywa na wanamgambo wa M23 ambao wanaungwa mkono na Rwanda.

Mbaya zaidi tumesikia kuwa Rwanda imefanya vitendo vya kuwadhalilisha kisaikolojia wanajeshi wetu wakati wanavuka mpaka wakiwa na Wanajeshi wa SADC ambao pia wamejeruhiwa kwa kuwachelewesha masaa kadhaa mpakani.

Baada ya matukio haya ambao sio tu yameliumiza Jeshi letu bali Watanzania wote tunaoipenda na kuijali kweli nchi yetu, Swali langu ni Je, kuna haja kwa Shirika letu la Ujasusi na Jeshi letu kulipa kisasi kutokana na mauaji na kujeruhiwa kwa ndugu zetu kama wanavyofanya Mossad na IDF?

Hawaoni kuna haja ya kufanya hivyo au ndo tumeshakubali rasmi sasa kuwa Rwanda ndo mtabe wa Afrika kwamba tumemshindwa na wanaomuweza ni Wazungu tu?
TISS ya leo wanachoweza ni kuisaidia CCM kuiba kura na kupoteza wapinzani
 
Hayo wameyataka wao wenyewe.

Tumekuwa tukishauri Sana hapa mtandaoni kwamba Wanajeshi wa nchi yetu warudi nyumbani ili waje kuimarisha ulinzi kwenye mipaka ya nchi yetu hii, lakini inavyoonekana Watawala wa nchi hawataki kusikia ushauri wetu huo. Matokeo yake ndio haya sasa.

"Aonywaye Mara nyingi naye hushupaza shingo, huvunjika ghafla na hakuna dawa tena."
(Mithali 29: 1)

Kama ni suala la Kulinda Amani, basi Jeshi linapaswa kupeleka Wanajeshi wake katika nchi za mbali, lakini siyo kwenda kulinda amani katika nchi ambazo ni majirani zetu. Hii ni hatari kubwa sana kwa Usalama wa nchi. Wanajeshi Wapiganaji wa Vikosi vya Kulinda amani vinapaswa kupelekwa katika nchi za mbali huko Kama vile kwa mfano Pakistan, Lebanon, Mynmar, Haiti, n.k.

All in all, Wanajeshi wetu wanapaswa kupelekwa kwenda kulinda amani katika nchi zingine lakini muda wote kabisa wanapaswa wasimame katika Upande wa HAKI. Wasiende huko ili kwenda kuwatetea au kuungana na Watawala wa huko ambao ni Wadhalimu. Ujumbe wa Kulinda Amani usititumwe ili kwenda kusaidia au kuungana na upande wa Wadhalimu.

Daima Tukumbuke kwamba 'ukiungana na Wadhalimu basi tambua kwamba Wapenda HAKI hawatakuwa upande wako.'
Shukrani mkuu. Busara iko hapa. Nanukuu: All in all, Wanajeshi wetu wanapaswa kupelekwa kwenda kulinda amani katika nchi zingine lakini muda wote kabisa wanapaswa wasimame katika Upande wa HAKI. Wasiende huko ili kwenda kuwatetea au kuungana na Watawala wa huko ambao ni Wadhalimu. Ujumbe wa Kulinda Amani usititumwe ili kwenda kusaidia au kuungana na upande wa Wadhalimu.
Ni hayo tu.
 
Kati wa watu wanaothamini sana uhai wa watu wao hapa duniani ni Israel. Ikitokea raia wa Israel au Mwanajeshi wa Israel amefariki kwenye mapigano au tukio lolote lile la Kigaidi haijalishi inapita muda gani, Israel ni lazima walipize kuuliwa kwa mtu wao.

Tabia hii ya Israel inapekea sio tu kuheshimiwa na mahasimu wao bali kuogopewa sana duniani katika medani za intelejensia na vita. Shirika lao la Ujasusi (MOSSAD) pamoja na vikosi vya jeshi lao wanafahamika sana kwa kutekeleza mission mbalimbali kwa ajili kulipiza vifo vya watu wao ili kutuma ujumbe kuwa wao sio watu wa kawaida.

Sote tumesikia kuwa Wanajeshi wetu 2 wameuwawa huko Congo pamoja na wengine 25 kujeruhiwa. Mauaji hayo yamefanywa na wanamgambo wa M23 ambao wanaungwa mkono na Rwanda.

Mbaya zaidi tumesikia kuwa Rwanda imefanya vitendo vya kuwadhalilisha kisaikolojia wanajeshi wetu wakati wanavuka mpaka wakiwa na Wanajeshi wa SADC ambao pia wamejeruhiwa kwa kuwachelewesha masaa kadhaa mpakani.

Baada ya matukio haya ambao sio tu yameliumiza Jeshi letu bali Watanzania wote tunaoipenda na kuijali kweli nchi yetu, Swali langu ni Je, kuna haja kwa Shirika letu la Ujasusi na Jeshi letu kulipa kisasi kutokana na mauaji na kujeruhiwa kwa ndugu zetu kama wanavyofanya Mossad na IDF?

Hawaoni kuna haja ya kufanya hivyo au ndo tumeshakubali rasmi sasa kuwa Rwanda ndo mtabe wa Afrika kwamba tumemshindwa na wanaomuweza ni Wazungu tu?
Mossad awa awa DG wake aliekimbia aibu iliwaopata apo GAZA

ukisema JESH la Israel kumbuka awa IDF ndio Wameuwa Adi raia wao Akiwemo yule mama na watoto wake Wawili!!!

Kiasi kwenye msiba wa uyu Mama na Watoto wake!!! FAMIRIA yao imekataaa

kwenye MSIBA wao ASIFIKE yoyote WAZIRI YOYOTE wa NETANYAHU wala yeye Mwenyewe NETANYAHU ndio Kabisa asikatize popote Watazika Mwenyewe!!!!

WALOKOLE WALIKUWA WANAFANYA PROPAGANDA ETI HAMAS ndio Wameuwa!!! tuliwaambia Famiria yake inajua Zaid kuliko nyinyi wa uko ukenyenge!!!!

Uyu tena anadai JWTZ ijufunze kwao awa MAGAID walioshindwa kias cha kuuwa raia wao!!!!!!????
 
Wewe ni mnyarwanda sio Mtanzania. Ninyi watutsi mnafurahia kuona Congo ikiwa na machafuko kwa sababu watusti wenzako wananufaika na wizi wa madini.
Hayo wameyataka wao wenyewe.

Tumekuwa tukishauri Sana hapa mtandaoni kwamba Wanajeshi wa nchi yetu warudi nyumbani ili waje kuimarisha ulinzi kwenye mipaka ya nchi yetu hii, lakini inavyoonekana Watawala wa nchi hawataki kusikia ushauri wetu huo. Matokeo yake ndio haya sasa.

"Aonywaye Mara nyingi naye hushupaza shingo, huvunjika ghafla na hakuna dawa tena."
(Mithali 29: 1)

Kama ni suala la Kulinda Amani, basi Jeshi linapaswa kupeleka Wanajeshi wake katika nchi za mbali, lakini siyo kwenda kulinda amani katika nchi ambazo ni majirani zetu. Hii ni hatari kubwa sana kwa Usalama wa nchi. Wanajeshi Wapiganaji wa Vikosi vya Kulinda amani vinapaswa kupelekwa katika nchi za mbali huko Kama vile kwa mfano Pakistan, Lebanon, Mynmar, Haiti, n.k.

All in all, Wanajeshi wetu wanapaswa kupelekwa kwenda kulinda amani katika nchi zingine lakini muda wote kabisa wanapaswa wasimame katika Upande wa HAKI. Wasiende huko ili kwenda kuwatetea au kuungana na Watawala wa huko ambao ni Wadhalimu. Ujumbe wa Kulinda Amani usititumwe ili kwenda kusaidia au kuungana na upande wa Wadhalimu.

Daima Tukumbuke kwamba 'ukiungana na Wadhalimu basi tambua kwamba Wapenda HAKI hawatakuwa upande wako.'
 
Back
Top Bottom