Mziwanda Wa Mziwanda
Member
- Jun 28, 2018
- 8
- 7
Habari zenu wakubwa!
Nina mtaji wa laki moja nataka uza genge au niuze Machungwa ,je kwa mtaji huo utatosha kwa biashara ipii? kwa wataalamu unatosha wa hizo kazi??
Naheshimu mawazo yako!
Ubarikiwe
Nina mtaji wa laki moja nataka uza genge au niuze Machungwa ,je kwa mtaji huo utatosha kwa biashara ipii? kwa wataalamu unatosha wa hizo kazi??
Naheshimu mawazo yako!
Ubarikiwe