Kuuza genge

Kuuza genge

Joined
Jun 28, 2018
Posts
8
Reaction score
7
Habari zenu wakubwa!
Nina mtaji wa laki moja nataka uza genge au niuze Machungwa ,je kwa mtaji huo utatosha kwa biashara ipii? kwa wataalamu unatosha wa hizo kazi??
Naheshimu mawazo yako!
Ubarikiwe
 
Mimi nina Genge..ila inategemea na Genge..kwa pesa hiyo bado ni ndogo labda Kama tayari ushafanya Garama nyengine za Place ama kibanda..ila kama ndio hela ya kununua Mazagazaga inatosha kuanzia na Bidhaa kama tatu
 
Maeneo ya Congo lamboto mzambarauni pale! Niweke meza niuze , sasa niko dilemma sijui niweke genge? Na jee sijui itatosha?? Msaada wenu wakubwa
Hapana,.tafuta kigenge chako kidogo dogo weka bidhaa za gengeni pamoja na hayo machungwa hapo..ukiuza machungwa pekeake utachelewa kupata faida,.labda ungesema matunda mchanganyiko angalau,.
 
Kama ni hapo Mzambarauni, nivyema ukaanza kuuza matunda kama Machungwa, Ndizi, Tikiti, Matango na vitu kama hizo mkuu.
Na nimependa kukusisitiza ufanye mauzo jioni kwasababu hapo ni karibu Sana na sokoni, hivyo ukiamua kuuza mida ya jioni kwako itakua ni advantage kwakua upo kwenye njia panda pale inayo panda na kushuka upande wapili wa lami.

Naomba kuwasilisha,
Mungu akusimamie,
Asante,
Ushimen.
 
Qsa
Kama ni hapo Mzambarauni, nivyema ukaanza kuuza matunda kama Machungwa, Ndizi, Tikiti, Matango na vitu kama hizo mkuu.
Na nimependa kukusisitiza ufanye mauzo jioni kwasababu hapo ni karibu Sana na sokoni, hivyo ukiamua kuuza mida ya jioni kwako itakua ni advantage kwakua upo kwenye njia panda pale inayo panda na kushuka upande wapili wa lami.

Naomba kuwasilisha,
Mungu akusimamie,
Asante,
Ushimen.[/QUOT
Ntafanyia Kaz as soon as possible
 
K
Mimi nina Genge..ila inategemea na Genge..kwa pesa hiyo bado ni ndogo labda Kama tayari ushafanya Garama nyengine za Place ama kibanda..ila kama ndio hela ya kununua Mazagazaga inatosha kuanzia na Bidhaa kama tatu
vizuri mkuu , najua bidhaa hizo tatu Kuu muhimu unaweza nitajia?
 
Back
Top Bottom