Mwanaharakati34
Member
- Feb 10, 2014
- 62
- 18
Hivi ni kweli kabisa kwamba ni lazima viwanja au nyumba viuzwe hapa nchini Tanzania kwa US$ na siyo Shs?
Maeneo ya mbezi beach, masaki na yafananayo. Na je malipo ya pesa ya kigeni yana uhusiano gani na kuporomoka au kukua kwa uchumi wa nchi changa kama Tanzania?
Hili jambo naona limeshika kasi sana na sielewi faida yake ni ipi kwa nchi.
Tafadhali mwenye uelewa naomba msaada, na kama huelewi pita kimya.
Maeneo ya mbezi beach, masaki na yafananayo. Na je malipo ya pesa ya kigeni yana uhusiano gani na kuporomoka au kukua kwa uchumi wa nchi changa kama Tanzania?
Hili jambo naona limeshika kasi sana na sielewi faida yake ni ipi kwa nchi.
Tafadhali mwenye uelewa naomba msaada, na kama huelewi pita kimya.