Watawala wamechagua kufumbia macho tu, hivyo ku-create demand ya dola wakati wanacho-export ni next to zero. Wanaachia malipo ya ada za shule, kodi za nyumba, watoa huduma huduma za kawaida kama mahoteli na maduka ya bidhaa. Wanaishia kufanya maisha yetu magumu, mshahara shilingi kodi ya nyumba ulipe kwa dola!