L liolio Member Joined Mar 14, 2013 Posts 40 Reaction score 8 Jan 22, 2015 #1 Wadau kwa muda mrefu nimekua nikifikiria watu wanafanyaje ili kuweza kufanikisha uuzaji na ununuzi wa pesa ( forex trad) online na unapataje faida. Tafadhali mwenye dondoo naomba anijuze.
Wadau kwa muda mrefu nimekua nikifikiria watu wanafanyaje ili kuweza kufanikisha uuzaji na ununuzi wa pesa ( forex trad) online na unapataje faida. Tafadhali mwenye dondoo naomba anijuze.
L liolio Member Joined Mar 14, 2013 Posts 40 Reaction score 8 Jan 27, 2015 Thread starter #2 Wadau inamana humu ndani hata mtu mmoja hajui kuhusu Forex trading kweli? Tusaidiane jamani
ngusekela JF-Expert Member Joined Jan 28, 2013 Posts 402 Reaction score 180 Feb 6, 2015 #3 hebu google kwanza
and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Feb 6, 2015 #4 we mwenyewe hujui unachoshangaa nini?
O Old Member (Retired) JF-Expert Member Joined Sep 29, 2012 Posts 3,401 Reaction score 1,610 Feb 6, 2015 #5 cc: @forex
Makambaja Senior Member Joined Aug 11, 2014 Posts 107 Reaction score 84 Feb 7, 2015 #6 joshua_ok said: we mwenyewe hujui unachoshangaa nini? Click to expand... hahahahaha....lol