Kuuza vocha za jumla

mama jason

Member
Joined
Sep 6, 2013
Posts
40
Reaction score
2
Habari zenu wanajamvi naombeni msaada wenu mnijuze nataka kuaza biashara ya kuuza vocha za jumla je niende wapi na natakiwa niwe na vigezo gani.thanx
 
kwa hilo nenda kwenye ofisi husika i.e voda shop watakupa link na wadodose wauzaj wa rejareja wananua kwa bei gan...

hata hivyo vocha za jumla znafaida ndogo japokuwa mtaj wake ni mkubwa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…