Kuuziwa simu Dar

fired

Senior Member
Joined
Apr 4, 2021
Posts
151
Reaction score
311
Nikiwa mgeni Dar nilikutana na kijana mmoja barbarani akanionyesha simu aina ya samsung A50. Kumuuliza bei akaniambia ni laki moja. Bei ilikua chini sana nikaamua kununua. Aliniharakisha sana akisema hataki kushikwa na polisi akanifungia simu ndani ya gazeti.

Kufika nyumbani kujaribu kuwasha simu haiwaki. Kumbe nilifungiwa simu bandia imejazwa matope
 
😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝😝Njoo kijijini kwetu nikupe radio upunguze hasira muheshimiwa.
 
Na matangazo yote hayo bado unabahatisha kununua simu barabarani? Ingekuwa ya wizi au imehusika na mauaji ungejitetea vipi?

Afadhali hata amekuuzia kimeo.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Je ungependa kumroga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…