Kuvaa barakoa kwenye Ofisi za Serikali lazima?

Kuvaa barakoa kwenye Ofisi za Serikali lazima?

Wakulonga

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
762
Reaction score
771
Habari Wanajamvi,

Ndugu zangu naomba kuuliza hivi kuvaa barakoa kwenye ofisi za serikali ni lazima? Maana jana mke wangu alimpeleka mtoto clinic walikataaa kumhudumia mtoto kisa mama mtu hakuvaa barokoa

Sasa hawa watu Hawaendi kinyume na Mh. Rais maana Mh Rais ameshasema kuvaa barakoa isiwe lazima. Au ndio hao wanaomuhujumu Mhe. Rais?
 
Vaeni barakoa bhana!! yanini kuuana? Unaiweka Rehani roho yako yangu haikuhusu. Hapa Kuna jirani ako na dalili zote ila hataki kwenda hospitali.
 
Mi wananishangaza sana watangazaji wa ITV, wageni wao wanawaambia wavae ila wao hawavai, kichefu chefu!
 
Hii kitu lazma aingaliwe maana watu wanakosa huduma kisa barakoa akati mzee baba ashasema barakoa sio lazima
 
Back
Top Bottom