Kuvaa msaraba wakati wa Tendo

Boflo wewe una hofu ya mungu ndio maana macho yanakutoka hivyo, ila kuna misalaba feki mingi tu ya china haina maana yeyote ni urembo tu, au anavaa rozali? basi mwambie bibie kuwa hauko confortable na yeye kuwa kavaa roz kwenye majambo naaini atakusikia tu
 
Naomba kuuliza..., (kama imani yako inakwambia kwamba msalaba ni kitu kitakatifu)
Je ukiiba huku umevaa msalaba, Kosa ni Kuiba au kuvaa msalaba ?
 
Dhamira yako inatafsiri vipi msalaba??
Acha kuchakua sasa!!
 
...
hivi hakuna ubaya kuvaa msaraba wakati wa uchakachuaji???
Hakuna ubaya wowote kuvaa msaraba kwenye tendo hilo la uchakachuaji mtakatifu! Angalizo: vile vile na wewe usisahau kuvaa raba, kinga ya miwaya!
 
Msalaba ni sanamu tuu ,hauna utakatifu wowote .Acha kutenda uzinzi kama uaogopa msalaba , ujui Mungu ndio anakuona zaidi ya hiyo sanamu iliyo chongw ana binadamu?
 
Ahahahaah! Dhamira inakusuta kwa kuvunja amri ya 6.
 
wewe binjuwa tu, usitizame msalaba - tizama manyonyo yanavyo ruka ruka, hahaha
 

.....funga macho
 
Nimemwanbia sana avue msaraba anajibu kama sitaki kula tunda anaondoka lakini msaraba havui, na napata taabu sana wakati wa kumkumbatia kifua na manyonyo yake maana ule msaraba huwa unanigusa na mimi na napatwa na msisimko wa uoga
 
ikiwa una maana ya msalaba uvae usivae yote sawa,maana hata usipovaa dhambi yako i pale2
 
Wachaga oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:A S 20:
 


boflo acha umbea km we ni mwoga kweli asi ungeacha kuchakachua kabsa...km issue ni dhambi na dhamira inakusuta bas ungeacha kabsa ku do MPAKA NDOA

so achana na kudonoa subiri ndoa then ntakuelewa iyo adabu ya MSALABA.
 
Nimemwanbia sana avue msaraba anajibu kama sitaki kula tunda anaondoka lakini msaraba havui, na napata taabu sana wakati wa kumkumbatia kifua na manyonyo yake maana ule msaraba huwa unanigusa na mimi na napatwa na msisimko wa uoga

Ha haha Mkuu bwana umeng'ang'ania Msaraba, jitahidi kuandika inavyotakiwa
 

Mtu mwenye hofu na mungu hawezi kuwa mzinifu...
Shetani wake tu ndo anamhofia
 
Kama ni wako hofu ondoa. Na kama si wako huo msalaba utakuwa hukumu yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…