BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,039
Mi naona kama sio vizuri kwa wanandoa au wapenzi kulala kitanda kimoja huku mmevaa night dresses. Sijui mi mshamba!!!!!!!! Hebu kwa wenye maoni tofauti watoe ili labda nifikirie upya...
aaargh! wewe wa wapi?, night dress linapandisha mzuka bana! akikujia peku peku na midubwana inaning'inia kifuani utazani viloba vya kolosho si unaweza ukatokea dirishani kwa uwoga. halaf pia unapata ka bonus ka kumvua ambako pia kuna ka utamu wake. hivi tuko jukwaa la MMU au la wakubwa?
Tatizo wewe sio muoaji na mimi kuchezeana staki!Nikifariki sitajua wala sitainjoi hata ukininunulia jeneza la dhahabu!Nipe mchango wa harusi ndo ntajua kweli![/QUOTE]
khaaa! yaani hela nitoe mimi halaf masarakasi apige njemba nyengine. nitake razi
Ujue nakusubiria twende usiku wa khanga moja club continentaluongo wako mdhuri.
Watu wengine mnashangaza!Kama wanatisha mnakua nao wa kazi gani?Hahaa, umenifurahisha sana,,,, ndivyo inavyotakiwa iwe,, maana hawa dada zetu wakiwa hawana nguo some time wana,,,,ti..
Ujue nakusubiria twende usiku wa khanga moja club continental
Hebu rejea hii thread na jinsi ulivyochangia hauwezi shindwa nisaidia.Sikujua naweza kusaidia...embu nidokeze HOW!
ndoa zinataka kupigwa marufuku nyie ndio kwanza mnazitafuta?Tatizo wewe sio muoaji na mimi kuchezeana staki!
Haujui wengine wanaogopa vikojoleo vya wenzaoWatu wengine mnashangaza!Kama wanatisha mnakua nao wa kazi gani?
Hebu rejea hii thread na jinsi ulivyochangia hauwezi shindwa nisaidia.
Oyaa ujue nakusubiria hapa Tandale huyu binti anasema kama hautokei aondoke na jamaa mwinginendoa zinataka kupigwa marufuku nyie ndio kwanza mnazitafuta?
ndoa zinataka kupigwa marufuku nyie ndio kwanza mnazitafuta?
Hatukuitafuta..yenyewe ndo ilitutafuta!Haya Baki tu topiki...huko kunimaind na mchango kunakuwaje?
Haujui wengine wanaogopa vikojoleo vya wenzao
Khaaa!Mnauzana au mnauziana?Oyaa ujue nakusubiria hapa Tandale huyu binti anasema kama hautokei aondoke na jamaa mwingine
Ukija nyumbani nitakupa maelezo hapa wachimba chumvi wengiMitihani sitaki...toa maelezo nifanyie kazi!
Ukija nyumbani nitakupa maelezo hapa wachimba chumvi wengi
Kuna binti mmoja klorokwin anamzungusha tokea juzi kisa kamuona klorokwin ana raba za nike.Khaaa!Mnauzana au mnauziana?
Dreva wangu yuko hapa nje kwako anakusubiriaNitumie nauli basi nije kabla Kloro hajaweka kauzibe!
hiyo hapo red iko Tanzania?Oyaa ujue nakusubiria hapa Tandale huyu binti anasema kama hautokei aondoke na jamaa mwingine