Kuvaa night dress kwa wanandoa/wapenzi...

hehehe hivi mnajua kwamba mimi ni mtakatifu?, mkiona kesho mnataka kuingia JF lakini log in inakataa mtalazimika kwenda kuungama zambi zenu.
Huo ukataatifu uliununua bei gani vile?
 
Huo ukataatifu uliununua bei gani vile?
sisi ndio tutakaofufuliwa baiolojia zetu zinang'ara kama tanzanite kwa kuepuka uzinifu hapa duniani, na tupo wachache sana hapa afrika mashariki. haleluyah!
 
sisi ndio tutakaofufuliwa baiolojia zetu zinang'ara kama tanzanite kwa kuepuka uzinifu hapa duniani, na tupo wachache sana hapa afrika mashariki. haleluyah!
Kujisifia usafi ni kuficha uchafu!Ngoja nilale mapema leo!
 
sometime inatakiwa ulale na pajama lako kwani kila siku nyie mnakuwa mnado? Mapenzi yana nakshinakshi nyingi moja ni mavazi ya usku mkuu
 
NAZJAZ....Toa picha yangu humu ndani.
Nishakuonya na I am sure nitakukamata. Usidhani wewe mjanja sana.

I have warned you. Acha upuuzi na ujinga. Unawekaje picha isokuwa yako na ambayo wala haina uhusiano na wewe?? nakuona uko online ujue ikifika kesho hujatoa picha yangu humu ndani utajutia siku uliyozaliwa na mamako.

Bastard Idiot!!! mjinga sana wewe. Huchagui wa kuchezea.
 
Dah! Makubwa Mwajuma and Nazjaz can you sort out yyour issues out of JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…