Kuvamiwa mpaka wa kiwanja

Makanyagio

Senior Member
Joined
Jun 25, 2009
Posts
125
Reaction score
30
Mtu anapokua amevamia kiwanja chako na kujenga malalamiko yako unapeleka wapi, ofisi gani na kama ni barua ya malalamiko unaandika kwa nani? Ukiamua kuvunja kilichojengwa sheria inasemaje?
 
Mtu anapokua amevamia kiwanja chako na kujenga malalamiko yako unapeleka wapi, ofisi gani na kama ni barua ya malalamiko unaandika kwa nani? Ukiamua kuvunja kilichojengwa sheria inasemaje?


huyo mtu ni nani yako? je mnafananisha kabila?je kimepimwa? Nenda mahakama ya mwanzo wilaya unayoishi watakupa maelekezo ya kufanya. inaweza kuanzia kusikilizwa hapo au utaelekezwa kwenda BARAZA LA ARDHI LA WILAYA msipoelewana utaomba kukata rufaa mahakama kuu. Nijibu hayo maswali kabla ya lolote.kwuhitaji zaidi tuwasiliane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…