reginahope
Senior Member
- Mar 26, 2013
- 163
- 30
napenda kuuliza mme wng anatatizo la kuvimba kwa kichwa cha uboo ambalo hutokea tukimaliza kusex...halina mda mrefu tangu limuanze..mwenye kujua shida ni nin karibu kwa mchango wako
Utamu umekolea sana. Mpeleke kwa urologist bwana
Inawezeka wewe una maambukizi. Nendeni mkapime wote STI maana zingine hazijulikani kirahisi.
anakuwa ajamalizi makojozi vizuri.......... jitahidi unapo maliza hakikisha unamkamua na vigina yako mpaka yaishe. ... alafu usimwache atoke hapo hapo ukamwagia maji aua akajiwekea maji jaribu kaa kidogo huku kitu kipo nadani kinatoka pole pole ,.... wengine mnaruka kama umekajaga moto pindi unapomaliza kukojoa na kwenda kumwagia maji..... mwili umetoka kwenye joto kali unaupeelka kwenye baridi lazima kivimbe tu....
Yaani inatakiwa mkuyati unapotoka ndani ya kibibi inabidi ile sauti ya "NFOOO...DOOO..." hapo ndo unakuwa umechuja kisawa sawa.
Hivi bongo kuna urologists?
anakuwa ajamalizi makojozi vizuri.......... jitahidi unapo maliza hakikisha unamkamua na vigina yako mpaka yaishe. ... alafu usimwache atoke hapo hapo ukamwagia maji aua akajiwekea maji jaribu kaa kidogo huku kitu kipo nadani kinatoka pole pole ,.... wengine mnaruka kama umekajaga moto pindi unapomaliza kukojoa na kwenda kumwagia maji..... mwili umetoka kwenye joto kali unaupeelka kwenye baridi lazima kivimbe tu....
Napenda kuuliza mme wangu anatatizo la kuvimba kwa kichwa cha uboo ambalo hutokea tukimaliza kusex.
Halina mda mrefu tangu limuanze, mwenye kujua shida ni ninI karibu kwa mchango wako.
Ahahaaa....mie mbona huwa "nanusisha tu kichwa ...."
Uko vizuri...! Utadhani siyo mchaga penda wewe mimi..
Inavimbia sehemu gani,huku karibu na mdomo,upande wa kisogoni au kwenye kidevu chake!Napenda kuuliza mme wangu anatatizo la kuvimba kwa kichwa cha uboo ambalo hutokea tukimaliza kusex.
Halina mda mrefu tangu limuanze, mwenye kujua shida ni ninI karibu kwa mchango wako.
Napenda kuuliza mme wangu anatatizo la kuvimba kwa kichwa cha uboo ambalo hutokea tukimaliza kusex.
Halina mda mrefu tangu limuanze, mwenye kujua shida ni ninI karibu kwa mchango wako.
khaaaa..................wewe ni mtanzania kweli??
ivi kama tuna nephrologist je tutakosa kuwa na urologis
sikaz wewe ni miongoni mwa mnaoamini wazungu can do every thing.
well kwa ushauri tu hebu tembelea KCMC urology clinic ukajionee mwenyewe.
Napenda kuuliza mme wangu anatatizo la kuvimba kwa kichwa cha uboo ambalo hutokea tukimaliza kusex.
Halina mda mrefu tangu limuanze, mwenye kujua shida ni ninI karibu kwa mchango wako.