Suzzie
Member
- Feb 25, 2009
- 98
- 12
Naombeni nisaidieni, mtoto wangu alivimba shavu la kushoto last week, uvimbe huo huanzia kwenye sikikio kushuka chini. nikampeleka hospital na akapewa ampiclox akapona, leo asubuhi kaamka kavimba upande mwingine na hata kula hawezi, je huo ni ugonjwa gani? unasababishwa na nini? na nini tiba yake? nimeambiwa shuleni kwao watoto sita wamepata hilo tatizo. tafadhali nisaidieni.