O odg Senior Member Joined Mar 1, 2013 Posts 190 Reaction score 28 Apr 7, 2013 #1 Habari wana-jf Inakuwaje unaamka asubuhi na unakuta mdomo umevimba? Dawa yake ni nini? Ahsante.
Mwasi JF-Expert Member Joined Feb 12, 2010 Posts 246 Reaction score 87 Apr 7, 2013 #2 odg said: Habari wana-jf Inakuwaje unaamka asubuhi na unakuta mdomo umevimba? Dawa yake ni nini? Ahsante. Click to expand... Inaweza kuwa minyoo, nenda hospitali ukapime.
odg said: Habari wana-jf Inakuwaje unaamka asubuhi na unakuta mdomo umevimba? Dawa yake ni nini? Ahsante. Click to expand... Inaweza kuwa minyoo, nenda hospitali ukapime.
M Mwanasheka Member Joined Feb 26, 2013 Posts 16 Reaction score 4 Apr 8, 2013 #3 minyoo hiyo nenda hospital ukapime...au kama unaona noma kutoa 'nya' yako kwenye kiberiti nenda pharmacy kajieleze watakupa dawa.
minyoo hiyo nenda hospital ukapime...au kama unaona noma kutoa 'nya' yako kwenye kiberiti nenda pharmacy kajieleze watakupa dawa.
Murano JF-Expert Member Joined Mar 11, 2012 Posts 2,056 Reaction score 1,102 Nov 20, 2014 #4 minyoo hiyo