Kuvimba sehemu za siri

Kifai

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
816
Reaction score
173
Natumain waungwana mpo poa, jamani embu nipeni ufumbuzi wa hili tatizo nini? Wife ana mimba ya miezi 6sasa, cha kushangaza amekuwa ana vimba sehemu zake za siri, cyo kila cku imekuwa inatokea mara moja moja tuu.
 
Poleni.

Kwakuwa ana mimba mngekwenda Hosp
kwanza huku ukuingoja ushauri wa hapa.
 
eh jamani wenye utaalam mtasaidia, lakini binadamu kwa timbwili huwa nawakubali.
ivi sehemu za siri zinavimbaje km si kuzifanyia kamchezo fulani kasohalali,
wewe unamgegeda mkeo sana wakat ana ujauzito.
uache kamchezo ako kwa mjamzito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…