Kuvimba tezi (mitoki) karibu na kinena

Gemini Are Forever

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2019
Posts
1,508
Reaction score
2,619
Salaam wanaJF!

Tezi la karibu na kinena (juu ya paja karibu na kinena) limevimba na linanisababishia homa.

Kwa experience ni kwamba, tezi (la kwenye kinena) huvimba iwapo tu kuna kidonda au jeraha mguuni n.k.

Lakini hapa leo sina kidonda wala jeraha lolote lakini tezi limevimba na linaniletea maumivu makali na homa.

Je, hali hii husababishwa na nini? Ni ugonjwa?

Ushauri jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…