Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
napenda mabinti wa hivo..kama yupo aje pm plzz
Kumbee ndio maana yule nilipom...
^^
vp hata yeye kaboost?
Mm nilikuwa sijui lakn hata yeye anakulaumu kuwa unamuota christine ibrahim
weka picha tuoneni urembo na pia ni mitego iliyopitiliza maana unakuta kaliboost hilo nyonyo mpk usawa wa kidevu km huyo dada hapo juu akiinama asipokuwa makini linaweza chomoka tena mbele ya baba mkwe si aibu hii jamani..halafu utavutiwa nae kwa nje nenda ndani avue kitu lapa kipo usawa wa tumbo..yani yeboyebo stlye kimelepweta!