Kuvimbisha maziwa kwa mwanmke na kuyanyanyua ni mitego ama ni urembo!!!

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Wakina mama na wakina Dada wameanzisha mipango mipya ya kuvimbisha maziwa ,wengine wakiyapiga sindano yawe magumu, imefikia hata wenye haki yaani watoto wao unyimwa na kupewa chupa huku wakiwalaghai wamesema eti maziwa hayatoki. Tabia hii imeshika kasi mpaka wanawapa tabu mafundi nguo , wakishona bila kuweka mbeleko ya kuyabeba.


Wasichana wamefikia.hatua ya kujikaba kifua huku wakieemea juu juu kisa yatune. wengine masikini yashakuwa sokis lakini ngozi hiyo itakabwa wee mpaka itune.
Je kuyakaba na kuyatunisha ni ulembo au mitego? Ninawaombeni munijibu bila ya kuleta Malumbano ya matusi ndugu zanguni asanteni.

 
ni urembo na pia ni mitego iliyopitiliza maana unakuta kaliboost hilo nyonyo mpk usawa wa kidevu km huyo dada hapo juu akiinama asipokuwa makini linaweza chomoka tena mbele ya baba mkwe si aibu hii jamani..halafu utavutiwa nae kwa nje nenda ndani avue kitu lapa kipo usawa wa tumbo..yani yeboyebo stlye kimelepweta!
 
ngoja kwanza Mzizi nikalale nitakuja jioni.
 
Last edited by a moderator:
kifupi ni ujinga wa baadhi ya akina dada. Vimaziwa vingne vina mabakamabaka mtu kakazana kuviweka nje tu sijui ili iweje
 
weka picha tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…