kuvimbiwa kwa mjamzito

mareche

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2011
Posts
471
Reaction score
95
wakuu kuna madhara gani endapo mjamzito atakuwa amevimbiwa au tumbo kujaa gass naombeni msaada
 
wakuu kuna madhara gani endapo mjamzito atakuwa amevimbiwa au tumbo kujaa gass naombeni msaada

Salam,
Tumbo kujaa gesi au kuvimbiwa ni dalili ya michubuko au vidonda vya tumbo, au tumbo kutokusaga vizuri chakula (mal-absorption) havina athari za moja kwa moja kwa mtoto lakini humuathiri mjamzito mwenyewe kwa kuwa atapata maumivu, kichefuchefu, kutapika, nakushindwa kula au kulala vizuri lakini pia endapo hatopata tiba kuna hatari ya kuongezeka kasi ya vidonda vya tumbo/ chakula kutonyonywa vizuri na kuzorotesha afya ya mama mjamzito ambayo hapo humuathiri na mtoto kwa kukosa lishe ya kutosha ambayo hutegemea kutoka kwa mama.
Ni vizuri kumuona daktari wa mambo ya kike obstetric/gynecologist kwa kumchunguza zaidi kabla matatizo hayaja ongezeka.
Sijui kama mchango wangu utakuwa umekuridhisha, kama ndivyo ndio lengo langu kama bado jamvi liko liko wazi kwa ufafanuzi zaidi.
Karibu
 
mke wangu halali, gesi inamsumbua. Kenda hospitali, huko kaandikiwa magnisium. Amekula lakini hazimsaidii, je afanyaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…