Kuna muda bora kuwa kimya maana kuna mambo mengine hata hayajadilikiKuna uzi toka jana naukwepa najua nikiingia huo ban lazima
Da'Vinci uko peace sana ilikuwaje?Sitasahau nilipigwa Ban ya miezi 7
View attachment 2579004
Kumbe unaweza kula ban mda mrefu hivyoSitasahau nilipigwa Ban ya miezi 7
View attachment 2579004
Ila sumu hasa ya maneno ni mbaya sana, maneno haya yanakwaza na wengi kuvumia hawawezi matokeo yake ni vita ya maneno mpaka kukiuka taratibu.Hakika nashukuru niliusoma uzi ule nikapita kimya.
Umekosea kuquote au ndio mbinu za kunitafia ban 😂Hivi unajuaje kuwa watakufungulia? Da'Vinci pia utakuw na ID nyingine hopeful hukuja na ID ya Ke🤣🤣🤣
Siku ulinusurika sio 😅😅😅😅 daahKuna uzi toka jana naukwepa najua nikiingia huo ban lazima hao uzi huo umewaponza
Ulikua ni mtego ila wachache tulishtuka tukaendana na beat. Nyuzi kama zile zikiachwa zitembee huwa zinafuatiliwa every single commentUle uzi hata sikutaka kuufungua ila Haiti sababu ya watu kutoleana maneno machafu😄
Nilifuta comment moja tu usiku. Asubuhi nakuta nishapewa tofali la tani 7. Mimi namkosi yaani nikifuta kitu tu mods hawa hapa.Da'Vinci uko peace sana ilikuwaje?
Kumbe unaweza kula ban mda mrefu hivyo
Ilibidi nifungue ID nyingine ya Criston Cole ila nilipotoka kifungoni niliomba ziungwe maana siwezi tumia I'd 2Hivi unajuaje kuwa watakufungulia? Da'Vinci pia utakuw na ID nyingine hopeful hukuja na ID ya Ke🤣🤣🤣