kuvunja muungano hapana ila serikali tatu ndio chaguo la wengi

kuvunja muungano hapana ila serikali tatu ndio chaguo la wengi

ansebaluu

Member
Joined
Aug 15, 2013
Posts
21
Reaction score
9
Sita kasema atapambana na wanaotaka kuvunja muungano kwa kiasi Fulani sawa ila isijekuwa anataka kupinga serikali tatu ambalo ni ombi lawananchi wengi waliotoa maoni.
 
Back
Top Bottom