kuvunja muungano hapana ila serikali tatu ndio chaguo la wengi

ansebaluu

Member
Joined
Aug 15, 2013
Posts
21
Reaction score
9
Sita kasema atapambana na wanaotaka kuvunja muungano kwa kiasi Fulani sawa ila isijekuwa anataka kupinga serikali tatu ambalo ni ombi lawananchi wengi waliotoa maoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…