Kuvunja ndoa

Kuvunja ndoa

Mtumishi kazi

Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
25
Reaction score
3
habari za saa hizi wana jamvi hili.kwanza nawashukuru kwa michango mnayotoa humu ktk kufungua ufahamu wa wasomaji.
mie leo naomba kuuliza hivi:iwapo mahakama itathibitisha pasi na shaka(katika shauri la kudai talaka kwa mmoja wa wanandoa) kuwa, maumbile ya sehemu za siri yanatofautiana sana na hata kusababisha adha kati ya wanandoa hao,je mahakama yaweza kuivunja?
 
habari za saa hizi wana jamvi hili.kwanza nawashukuru kwa michango mnayotoa humu ktk kufungua ufahamu wa wasomaji.
mie leo naomba kuuliza hivi:iwapo mahakama itathibitisha pasi na shaka(katika shauri la kudai talaka kwa mmoja wa wanandoa) kuwa, maumbile ya sehemu za siri yanatofautiana sana na hata kusababisha adha kati ya wanandoa hao,je mahakama yaweza kuivunja?
Hivi wewe mahakama inawezaje kuthibitisha vipi, mtaaenda mjaribishe mbele ya hakimu ili kutoa ushahidi hadharani??? Na hayo maumbile yanayotofautiana ni yapi kwa sababu kimsingi maumbile yanayotumika yote kati ya wanandoa wawili hayafanani hata kidogo, au tofauti ipi unayoizungumzia ww
 
Weka wazi zaidi wanasheria wachambua huo utofauti ulivyo kiasi cha kusababisha adha kwa mwanandoa mmoja.
 
kwani mzee, hayo maumbili yanayotofautiana sana, kivipi? mimi kama mtu mzima wakati mwingine naweza fikiri labda mkeo alikuwa hajazaa sasa amezaa unaona utofauti, au sijui nikueleweje....that marriage is still valid, and if you want to annul it lazima mpitie mabaraza ya usuluhishi ili msuluhishwe, wale watu wa balaza la usuluhishi wakishindwa kusuluhisha ugomvi wenu, watawapatia certificate mtaenda nayo mahakamani. kinachotakiwa kuthibitishwa wakati wa kuvunja ndoa ni kuwa, the marriage has broken irreparably, yaani hakuna mazingira hata kidogo tu ambayo yanaweza kuwafanya muendelee kuishi kama mme na mke, hakuna hata namna ya kuiponyesha iyo ndoa...kama ni maumbile kwani huwezi kwenda hospitali wakayatengeneze (kama mwanamke wako ameongezeka sana...), kama ni ugonjwa hauna dawa? tatizo tu la maumbile kutofautiana au mwenzio kawa mnene sana na mwili ukabadilika si kuna option ya kufanya mazoezi akapungua...kwa kifupi, kwa mazingira kama hayo unayoeleza, ni vigumu sana kupata talaka hapo kwa kurely only on that claim.....binafsi, nashukia watu wanaoachana, Mungu anachukia kuachana, imagine ungekuwa wewe upande wa that other side uachwe kwasababu ya claim hiyo ungejisikiaje? kaa na mkeo usihangaike unatafuta maangamizi tu na katu moyo wako hautakuja kuridhika. wanawake wote ni wale wale tu hata kama wanatofautiana sura. SHERIA KWA KISWAHILI
 
ndugu cjajua n tofauti gani unayoizungumzia so ungefafanua ingekua pouwaa sana ila nikukumbushekitu kimoja ktk law of marriage act imeeleza wazi kwamba each spouse owes the other a duty to consummate (sexual intercourse) the marriage and that (with certain exceptions) the incapacity of either or the willful refusal of the respondent to do so will entitle the petitioner to a decree of nullity
 
Hivi wewe mahakama inawezaje kuthibitisha vipi, mtaaenda mjaribishe mbele ya hakimu ili kutoa ushahidi hadharani??? Na hayo maumbile yanayotofautiana ni yapi kwa sababu kimsingi maumbile yanayotumika yote kati ya wanandoa wawili hayafanani hata kidogo, au tofauti ipi unayoizungumzia ww
hebu panua uwanda wako wa kufikili ww yani we ukickia mahakama imecbitisha case kama hii bac wahucka walifanya mbele ya hakimu .......kumbuka kuna medical report ya weza tumika na certificate kutoka balaza la wapatanishi be open mind bwana
 
sijaelewa issue yako...fafanua ili tuweze kukuelewa
 
Back
Top Bottom