safuher
JF-Expert Member
- Feb 11, 2019
- 11,837
- 17,412
Katika mambo yanayonishangaza ni hii kaulii ya kusema kuwa "ule wa jana kabisa ulee sio wa leo"
Wengine husema waleo hauwezi kuchelewa vilee ule mkubwa huutafuti.
Binafsi nafuata mwezi wa kimataifa lakini hii haimaanishi nikubali kila linalosemwa na wenzangu kuwaponda wa mwezi wa kitaifa.
Katika hoja ambazo hazina tija wanazotumia baadhi ya watu ati kusema ule sio wa leo.
.NI KWELI ULE MWEZI HAUKUWA WA LEO(JANA)
Lakini je wamekosea ?
Hawajakosea kwa sababu ya hadithi ifuatayo.
Mtume wa Allah asema "fungeni kwa kuuona na fungueni kwa kuuona(kuonekana) ikiwa mtazongwa na mawingu basi kamilisheni siku thelathini"
Katika hadthi hii mtume alisema "..mkizongwa na mawingu basi kamilisheni thelathini.."
Na wala mtume hakusema "mkizongwa na mawingu basi kadirieni kuwa ulionekana tu ila mawingu yamezuwia hivyo fungueni"
Mtume hakueema hivyo 👆👆
Kitendo cha mtume kusema mkizongwa na mawingu kamilisheni maana yake ni kuwa huwenda bila mawingu kuzonga tungeuwona,
lakini mtume hakusema tukadirie tu assume kama tumeuwona bi akasema tukamilishe.
Hii ina maana kuwa pengine mwezi uliandama na mawingu yakazuwia hivyo kesho kuna uwezekano ukaonekana mkubwa kwa sababu pengine uliandama tokea jana ila tu mawingu yalizuwia kuonekana.
Na mtume kasema mawingu yakizuwia usijitie ku assume bali kamilisha thelathini.
Hivyo wanaosema kuwa ule mwezi haukuwa wa jana pengine ni kweli lakini mawingu yalizonga hivyo ikawa ngumu kuuona.
Kwa maana hii jana sikushangaa kuona mwezi ni mkubwa kwa sababu juzi kulikuwa na mawingu pengine uliandama ila kikwazo mawingu.
Binafsi nimefungua jana kwa rai ninayoiamini lakini suala la kukejeliana sio poa kwani hizi ni tofauti za rai enyi ndugu waumini.
Nawaomba tusherehekee kwa pamoja bila kukwazana kwa lolote.
Wengine husema waleo hauwezi kuchelewa vilee ule mkubwa huutafuti.
Binafsi nafuata mwezi wa kimataifa lakini hii haimaanishi nikubali kila linalosemwa na wenzangu kuwaponda wa mwezi wa kitaifa.
Katika hoja ambazo hazina tija wanazotumia baadhi ya watu ati kusema ule sio wa leo.
.NI KWELI ULE MWEZI HAUKUWA WA LEO(JANA)
Lakini je wamekosea ?
Hawajakosea kwa sababu ya hadithi ifuatayo.
Mtume wa Allah asema "fungeni kwa kuuona na fungueni kwa kuuona(kuonekana) ikiwa mtazongwa na mawingu basi kamilisheni siku thelathini"
Katika hadthi hii mtume alisema "..mkizongwa na mawingu basi kamilisheni thelathini.."
Na wala mtume hakusema "mkizongwa na mawingu basi kadirieni kuwa ulionekana tu ila mawingu yamezuwia hivyo fungueni"
Mtume hakueema hivyo 👆👆
Kitendo cha mtume kusema mkizongwa na mawingu kamilisheni maana yake ni kuwa huwenda bila mawingu kuzonga tungeuwona,
lakini mtume hakusema tukadirie tu assume kama tumeuwona bi akasema tukamilishe.
Hii ina maana kuwa pengine mwezi uliandama na mawingu yakazuwia hivyo kesho kuna uwezekano ukaonekana mkubwa kwa sababu pengine uliandama tokea jana ila tu mawingu yalizuwia kuonekana.
Na mtume kasema mawingu yakizuwia usijitie ku assume bali kamilisha thelathini.
Hivyo wanaosema kuwa ule mwezi haukuwa wa jana pengine ni kweli lakini mawingu yalizonga hivyo ikawa ngumu kuuona.
Kwa maana hii jana sikushangaa kuona mwezi ni mkubwa kwa sababu juzi kulikuwa na mawingu pengine uliandama ila kikwazo mawingu.
Binafsi nimefungua jana kwa rai ninayoiamini lakini suala la kukejeliana sio poa kwani hizi ni tofauti za rai enyi ndugu waumini.
Nawaomba tusherehekee kwa pamoja bila kukwazana kwa lolote.