Arvin sloane JF-Expert Member Joined Jul 18, 2011 Posts 996 Reaction score 204 May 22, 2012 #41 Pole sana mkuu siku nyingine usirudie kuacha laptop, camera na vitu vinavyofanana na hivyo kwenye gari jamaa wana dawa ya kugundua wewe hujiulizi kwa magari yote yaliyokuwepo hapo kwa nini? waje kwenye gari lako na si gari lingine?
Pole sana mkuu siku nyingine usirudie kuacha laptop, camera na vitu vinavyofanana na hivyo kwenye gari jamaa wana dawa ya kugundua wewe hujiulizi kwa magari yote yaliyokuwepo hapo kwa nini? waje kwenye gari lako na si gari lingine?