Kuvunjiwa vioo vya magari na kuibiwa Laptops

Pole sana mkuu siku nyingine usirudie kuacha laptop, camera na vitu vinavyofanana na hivyo kwenye gari jamaa wana dawa ya kugundua wewe hujiulizi kwa magari yote yaliyokuwepo hapo kwa nini? waje kwenye gari lako na si gari lingine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…