Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
-
- #21
Wakiamua kujaribu ni juu yao, lakini tahadhari ni kwamba hiyo ni sumu na ina maumivu makali mwanzoni mwa matumizi yake, yaani zaidi ya masaa 6 ni maumivu tu.Tabia za waraibu zinafanana, kumkamata ng'e sio tishio kama unavyodhani, mi mwenyewe naweza kumkata vizuri tu ndo ijekuwa mvutaji!
Hapa umeshawapa mbinu wauzaji na watumiaji
Kuna watu hawasikii la swala wala mnadi swala kaka yangu...Sio kwamba tuwaombee na kuhimiza waachane na mambo hayo
Ulevi mwingine katika nchi yetu ni Uchawa, kila kona vijana wanalewa kwa ulevi huu na kuwa kama wendawazimuWakati duniani wanalewa kwa nge, nyoka, vyura. Tanzania kumeingia ulevi wa kulewa kwa kutumia "duburi".
. Duburi = tundu la kutolea haja kubwa.
Kadri siku zitakavyosogea kitapatikana kitu cha kupoza au kuondoa hiyo sumu ili waraibu wafurahie maisha.Wakiamua kujaribu ni juu yao, lakini tahadhari ni kwamba hiyo ni sumu na ina maumivu makali mwanzoni mwa matumizi yake, yaani zaidi ya masaa 6 ni maumivu tu.
Sahihi kabisa Madam, wapo wanaopenda kujaribu mambo lakini wakijaribu hili hawatabaki salamaKuna watu hawasikii la swala wala mnadi swala kaka yangu...
Tuwaombee watoto wetu wadogo ambao hawajui kitu wasiingie huko wakue vyema...sio mtu na akili yake anavutiwa na kufanya huo ujinga...
Kama wameweza kuvaa pedi iliyolowa pombe hiyo hawashindwi, kwanza ni nyepesi sana sema naona ina hatari ya kusababisha vifo kwa haraka sanaWakiamua kujaribu ni juu yao, lakini tahadhari ni kwamba hiyo ni sumu na ina maumivu makali mwanzoni mwa matumizi yake, yaani zaidi ya masaa 6 ni maumivu tu.
Sumu ndyo chanzo kikuu cha huo ulevi, ikiondolewa inamaana hakuna uwezekano wa kupata huo uleviKadri siku zitakavyosogea kitapatikana kitu cha kupoza au kuondoa hiyo sumu ili waraibu wafurahie maisha.
Basi hao ndo tuwaache wapate wanachokitafuta...Sahihi kabisa Madam, wapo wanaopenda kujaribu mambo lakini wakijaribu hili hawatabaki salama
Dunia ina mambo....
Kuvuta n'ge ili kufikia ulevi au to get high ni tatizo linalo kua kwa kasi katika ukanda wa kusini mwa Asia. Mojawapo ya nchi iliyo na matumizi makubwa ya ulevi huu ni Pakistan.
Ulevi au high hiyo inasemekana huwa maradufu zaidi kushinda heroine au cocaine, hudumu mwilini kwa zaidi ya masaa 10 hadi siku 3.
Mtumiaji hupitia maumivu makali kwa muda wa masaa yasiyo pungua sita baada ya kuvuta, kisha ndipo huanza kusikia ulevi au kuwa high.
Maumivu hayo huweza kupelekea kifo kwa mvutaji kwasababu chanzo kikuu cha ulevi huo ni sumu ambayo inapatikana katika maumbile ya n'ge.
MBINU AU NJIA ZA UVUTAJI
Zipo njia au mbinu kuu mbili ambazo hutumiwa na watumiaji ili kufikia mshindo wa ulevi.
1. Baada ya kumpata n'nge aliye komaa, wanamuweka Juani ili akauke, wengine hawatumii jua na wana kausha kwa makaa ya moto.
Baada ya n'nge kukauka wanasaga mabaki hayo na kisha kuvuta moshi kwa kutumia mrija kuelekeza puani.
2. Kunyonga au kuunda msokoto, Wengine wanaunda msokoto na kuchanganya mabaki ya nge ambayo yamesagwa na kuwa kama unga, kisha wana changanya na bangi kisha wanavuta.
Kutokana na vitendo hivi, wapo baadhi ya watu katika maeneo hayo wameona fursa na kuanza kuwatunza au kuwafuga wadudu hao na kisha kuwageuza kuwa biashara kwa kuwauzia waraibu wa ulevi huo.
Kutokana na kukosekana au ufinyu wa upatikanaji wa madawa ya kulevya ambayo yana gharama kubwa, wanatumia njia hii mbadala ambayo ni hatari zaidi kuliko madawa mengine, wengi wanakufa kwani sumu ni kali na huathiri mwili kwa kipindi kifupi.
Kadri siku zinavyozidi kwenda, dunia inashuhudia mbinu mpya za uraibu na matumizi ya madawa hatarishi zaidi.
Huku kwetu tumeona baadhi ya vijana wakitumia taulo za kike kwa matumizi ya pombe, huko kwa wenzetu nao wamekuja na style mpya ya ulevi, kuvuta sumu ya nge.
Wengi wanakufa au kupooza kabisaKama wameweza kuvaa pedi iliyolowa pombe hiyo hawashindwi, kwanza ni nyepesi sana sema naona ina hatari ya kusababisha vifo kwa haraka sana
Wanatumia taulo za kike, wanaziwekea pombe kisha wanavaUnazungumziwa wapenda mitaro au ama wanalewaje
Kweli nimechelewa kufahamu, lakini nimeleta hapa ili na wengine wafahamuHuu ulevi mleta mada umechelewa kuufahamu nadhani ila Arusha na Moshi wanautumia toka 2019.
Wao wanasema wanatafuta starehe au kulewa, lakini mwisho wanapata ulemavu au vifo kabisaBasi hao ndo tuwaache wapate wanachokitafuta...
Kabla haujaachiwa space na huyo ndugu yako, jamaa yako, rafiki yako au jirani yako, utapoteza kati ya mali yako (mchango), muda wako ndiyo kisha afe akuachie spaceVuteni mfe mtuachie spaaaceeeee...
Sema spaceeeee
Wanao jaribu ni wale walio na mazoea ya kutumia madawa ya kulevyaDah Jana nimeua n’ge mkubwaa ningejaribuu
Ndo mnawapa kichwa hivyo..Kabla haujaachiwa space na huyo ndugu yako, jamaa yako, rafiki yako au jirani yako, utapoteza kati ya mali yako (mchango), muda wako ndiyo kisha afe akuachie space
Na wabongo ni wabunifu sana naamini wataboresha hii skanka iwe kali zaid!Tabia za waraibu zinafanana, kumkamata ng'e sio tishio kama unavyodhani, mi mwenyewe naweza kumkamata vizuri tu ndo ijekuwa mvutaji!
Hapa umeshawapa mbinu wauzaji na watumiaji