Muongozo upi tena huo mkuu?Kwa watoto wa form 1-4 ni sawa utapeta [emoji28][emoji28][emoji28] ila kwa wahanga wa msoto wa Ajira mwaka wa 4 kitaanii watakuja kukupa muongozo!
Hahhhhh, haipo hivo mkuubishoo hiyo jinsi ukijamba ushuzi si utatoka wakati unaivua??!!
Subiria uje uambiwe habari za hela