KUWA HURU!

Antony Abel

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
264
Reaction score
142
Naitwa ANTONY ABEL mimi ni MTANZANIA mwenye amani,
Nakushangaa ww unae ishi kwenye nchi ya amani na hauna amani.
Hata kutaja KABILA lako unaogopa! poolee.
 
mtoto kumbe umekuja jf december 17 2017
baada ya shule kufungwa halafu unasema kuwa huru
hujui hata jf inapitia wakati upi mgumu
tulia tu mdogo wangu, kama huna cha kuandika au kunywa uji wa muhogo ulale
 
Naitwa ANTONY ABEL mimi ni MTANZANIA mwenye amani,
Nakushangaa ww unae ishi kwenye nchi ya amani na hauna amani.
Hata kutaja KABILA lako unaogopa! poolee.
Jianike sana hadi rinda lako tulione ndiyo utakuja kujuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…