ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,938
- 6,942
Juzi nilikuwa naelekea bunda kutokea Mwanza. Kuanzia Magu hadi bunda, mashamba ya mahindi yote yaliyo kando ya ziwa Victoria yamekauka kwa kukosa mvua, mengine yako chini ya mita 100 toka ziwani.
Nilianza kufikiria, hivi tunahitaji bilion ngapi ili mashamba yote yaliyo kando ya ziwa victoria pande zote za barabara yaanze kulima kilimo cha umwagiliaji?
Tuna laana sana na serikali haina mpango wa kufuta umaskini wetu. Hatuko serious na maisha hetu wenyewe.
Tuna maziwa makuu, mito mikubwa lkn vyanzo vya maji tena ya baridi kwa kilimo havijatumika halafu w wanatokea watu wanajifanya wanatupenda kweli?
Ujinga mtupu, hatuna dhamira ya kujikwamua.
Nilianza kufikiria, hivi tunahitaji bilion ngapi ili mashamba yote yaliyo kando ya ziwa victoria pande zote za barabara yaanze kulima kilimo cha umwagiliaji?
Tuna laana sana na serikali haina mpango wa kufuta umaskini wetu. Hatuko serious na maisha hetu wenyewe.
Tuna maziwa makuu, mito mikubwa lkn vyanzo vya maji tena ya baridi kwa kilimo havijatumika halafu w wanatokea watu wanajifanya wanatupenda kweli?
Ujinga mtupu, hatuna dhamira ya kujikwamua.