Kuwa kwenye mahusiano na single mother yataka moyo

Kuwa kwenye mahusiano na single mother yataka moyo

Zero Competition

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2018
Posts
347
Reaction score
553
Nakumbuka mwaka jana katikati nilipata kufahamiana na single mother mmoja toka kwenye mtandao maarufu wa kijamii.

Mwanzoni sikujua kama ni single mother mpaka tulivyoanza kuzoeana ndipo alinambia kwamba ana mtoto mmoja wa kike mwenye umri wa miaka mitatu alizaa na jamaa mmoja ambae kwasasa wameachana.Ingawa sikuwa na mpango wa kumtongoza haraka kihivyo ila yeye mwenyewe alianza kujitongozesha.

Akaanza zile mara tunaonana lini mara ooh sijui unakuja lini vitu kama hivyo nikamwambia tutaonana tu wala usijari mana kiukweli tulikua tuko mikoa tofauti.Balaa lilianza ilipofika December mwezi wa Xmas akaanza kunambia mara mtoto anataka nguo mara sijui vile yani akawa anakomaa kweli kwamba nimnunulie mwanae nguo za sikukuu mara ooh kodi ya nyumba inaisha naomba unisaidie kulipa......sasa nikawaza huyu sijaonana nae live kashaanza kunipa majukum ya baba wa mtoto je nikishakutana nae faragha sio ndio nitakua napigwa invoice kila uchao

Nikaona isiwe kesi wacha nimpotezee mana sipendi mwanamke ambae mwanzoni tu anaanza kulia shida kabla hata sijamgegeda

Sijui kwa wengine ila binafsi siamini kama kweli single mothers wanakuaga na mapenzi ya dhati, huwa naamini kujibebisha kwao ni maigizo tu ili mambo yake yaende sababu anachohitaji yeye ni pesa tu kwaajiri ya kutatua matatizo yake mana wanakuaga na shida kupita maelezo.

Je kuna mtu mwingine yeyote humu ambae kashawahi kuwa kwenye mahusiano na single mother na kama uliwahi je ni nini kilikufanya uachane na single mother ?

Karibuni tuweze share experience
 
Singo maza haolewi kula tunda sepa, hakikisha hukai nae kwa zaidi ya miez mitatu kwakua huwa wanatabia ya kuficha makucha mwanzon haombi hela na anakupa tunda bila hiyana kwahiyo tumia hako kamda alaf mpige chini, ukizidisha hapo ndo utaanza kupigwa vizinga vya kulea damu ya mwanaume mwenzako na wakat wewe hujawahi hata kupiga kavu huo ni ushoga

Labda kama baba wa mtoto kafa na ukafukua kaburi kuthibisha n kweli ndo baba wa mtoto hapo unaweza kujitolea kulea lakin hiv hiv huo ni ushoga siku wakikutana wanakulana tena wewe kaz yako kutoa matumizi
 
Hehehehehh na siku akimpeleka mwanae kwa baba ake kwisha habari yako

#kIddIng
You are not kidding. Huo ndiyo mtihani mkubwa uliopo. Sijui ni kwa nini yaani. Atakusimulia mambo mabaya ya kutisha aliyofanyiwa na baby daddy wake. Alivyotelekezwa na mimba, akateseka karibia ajiue na utopolo mwingine. Mpaka unamwonea huruma. Cha ajabu sasa akikutana na huyo baby daddy wake wewe haupo lazima tu atapashwa kiporo. Hili jambo linashangaza sana !!!

Labda upate anayejitambua sana na ambaye alishamalizana kabisa kabisa na baby daddy wake (au bebi daddy awe keshatangulia mbele ya haki), kuchapiwa ni lazima tu...

#Kidding [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
 
Binafsi niwe mkwel single mother wana mapenzi ya kwel nilimpata mmoja alinipenda sana na mm nikamuongeza mtoto mwingine bahat Mbaya sana moyon hakuingia kabisa kama ni mwanamke wa kuoa ningemuoa yy mpaka nyumban walimpenda sana lakn mm siku jali nilimchana ww sio chaguo langu akakubal nimepata habar sasa kaolewa na anamtoto na alisema utakuja kunikumbuka na kwel namkumbuka na kutana na kunguru sasa huvi zinazobandika kope kucha kama wachaw hata kunifulia nguo hazitaki pumbavu in mkapa voice
 
Singo maza haolewi kula tunda sepa, hakikisha hukai nae kwa zaidi ya miez mitatu kwakua huwa wanatabia ya kuficha makucha mwanzon haombi hela na anakupa tunda bila hiyana kwahiyo tumia hako kamda alaf mpige chini, ukizidisha hapo ndo utaanza kupigwa vizinga vya kulea damu ya mwanaume mwenzako na wakat wewe hujawahi hata kupiga kavu huo ni ushoga

Labda kama baba wa mtoto kafa na ukafukua kaburi kuthibisha n kweli ndo baba wa mtoto hapo unaweza kujitolea kulea lakin hiv hiv huo ni ushoga siku wakikutana wanakulana tena wewe kaz yako kutoa matumizi
Ni kweli kabisa ndugu unayosema....ni ngumu sana kumuamini single mother kwamba anafaa kuwa mke.
 
Upate single maza kama wale wa diamond sasa, kila weekend anapeleka mtoto kwa baba anapiga na deki chumbani!!! Kuna maisha mengine kiukweli sio mazuri....Mungu ayaepushe
Hahaaa umenikumbusha mmoja huyo nilikutana nae kazin kama new employeee....

Mpole mpole hivi nikasema ngoja nioshe rungu nipite, wee yule dada sijui alinifanyoa nini, nikaja kukuta nimempenda vile isivyo kawaida, nikipiga simu jion asipopatikana mwili wote unajaa joto unalegea nahisi kufa.

Maisha yakasonga kaja nambia ana mtoto wa kike kazaa na ex wake tena wakiwa chuon 2nd year, eheee nambie mamii huyo mtoto yuko wapi?

Yupo kwa bibi yake mzaa baba yake, hahaa vitimbwi umekaa nae seblen unataka kumega utamu simu inapigwa na mama yake mkwe huyo anae kaa na mtoto.

Mama: Binti habari?
Binti: Nzuri mama shikamoo,
Mama: Marahaba, vipi huyu mwanao hujapiga simu kuulizia maendeleo yake ya shule, ila kanajitahidi sana na baba yake alimtumia hela za nguo hapa nimemnunulia kapendeza sana.

Binti: ooh vizuri sana mama, ajitahidi katika masomo

Mama: Kuna wifi yako anataka kukusalimu

Binti: haya mpe simu.
Binti: Wifi za huko jaman, nilikuona profile umenawiri na kupendeza.

Wifi: Asante wifi, ile picha nilipiga ile sehem aliyotupeleka kaka siku ya siku kuu mlipokuwa huku kipindi kile cha siku kuu

Binti: Aaah usinikumbushe ile sehem nzuri jaman na ile siku nilienjoy sana.

Wifi: lini unakuja wifi yangu, uje bwana mwanao anakuwa mkiwa sana wengine mama zao wanakuja wanafurahia mapenzi ya mama yao wa kwako anakuwa mkiwa.

Binti: nitakuja wifi ngoja nishugulikie likizo.

Unapata picha ya wewe umekaa kwenye sofa hapo pemben unasubiria mtu amalize story za upuuz za hivyo,

Basi akikata simu anawaponda kidogo, yan hawa kila mara wanadai uniform, viatu vya mtoto sijui nguo za siku kuu bora nije nichukue mwanangu.

Mimi: Eeeh chukua mtoto huyo haya mawasiliano yenu hayanivutii

Binti: baby punguza wivu ww nae, yule ana mpenz wake na mm nina wewe ni bahat mbaya tu mimba iliingia tukapata huyu mtoto.

Mara siku nyingine, simu ya huyo baba watoto wake, anavunga kupokea, jamaa anatuma msg hebu punguza jazba mtoto apate malezo yetu sote, juzi nimeongea nae kasema msalimie mama.
Utaona binti analegea, anavizia ukiondoka waongee.

Nikasema huu ni utumwa ndani ya nchi huru yenye wanawake wengi kuliko wanaume.

Nilisikia habr za fununu walivishana pete baadae tena.

Avoid mwanamke mwenye mtoto, waigizaji sana ila ipo siku atakuumiza balaa had ustashangaa na kujifanya unajua kukamatia walojazwa watoto
 
mimi nawatafuta lakini siwapati hasa mwenye mtoto mmoja nimwongeze mwingine!
hawana tabu we patana na mtoto wake kwa vizawadi na kulipa ada ya shule kwisha habari yake.

[emoji23][emoji23][emoji23]khaaa
 
Hahaaa umenikumbusha mmoja huyo nilikutana nae kazin kama new employeee....


Mpole mpole hivi nikasema ngoja nioshe rungu nipite, wee yule dada sijui alinifanyoa nini, nikaja kukuta nimempenda vile isivyo kawaida, nikipiga simu jion asipopatikana mwili wote unajaa joto unalegea nahisi kufa.

Maisha yakasonga kaja nambia ana mtoto wa kike kazaa na ex wake tena wakiwa chuon 2nd year, eheee nambie mamii huyo mtoto yuko wapi?

Yupo kwa bibi yake mzaa baba yake, hahaa vitimbwi umekaa nae seblen unataka kumega utamu simu inapigwa na mama yake mkwe huyo anae kaa na mtoto.


Mama: Binti habari?
Binti: Nzuri mama shikamoo,
Mama: Marahaba, vipi huyu mwanao hujapiga simu kuulizia maendeleo yake ya shule, ila kanajitahidi sana na baba yake alimtumia hela za nguo hapa nimemnunulia kapendeza sana.

Binti: ooh vizuri sana mama, ajitahidi katika masomo


Mama: Kuna wifi yako anataka kukusalimu


Binti: haya mpe simu.
Binti: Wifi za huko jaman, nilikuona profile umenawiri na kupendeza.

Wifi: Asante wifi, ile picha nilipiga ile sehem aliyotupeleka kaka siku ya siku kuu mlipokuwa huku kipindi kile cha siku kuu

Binti: Aaah usinikumbushe ile sehem nzuri jaman na ile siku nilienjoy sana.

Wifi: lini unakuja wifi yangu, uje bwana mwanao anakuwa mkiwa sana wengine mama zao wanakuja wanafurahia mapenzi ya mama yao wa kwako anakuwa mkiwa.


Binti: nitakuja wifi ngoja nishugulikie likizo.

Unapata picha ya wewe umekaa kwenye sofa hapo pemben unasubiria mtu amalize story za upuuz za hivyo,

Basi akikata simu anawaponda kidogo, yan hawa kila mara wanadai uniform, viatu vya mtoto sijui nguo za siku kuu bora nije nichukue mwanangu.

Mimi: Eeeh chukua mtoto huyo haya mawasiliano yenu hayanivutii

Binti: baby punguza wivu ww nae, yule ana mpenz wake na mm nina wewe ni bahat mbaya tu mimba iliingia tukapata huyu mtoto.


Mara siku nyingine, simu ya huyo baba watoto wake, anavunga kupokea, jamaa anatuma msg hebu punguza jazba mtoto apate malezo yetu sote, juzi nimeongea nae kasema msalimie mama.
Utaona binti analegea, anavizia ukiondoka waongee.


Nikasema huu ni utumwa ndani ya nchi huru yenye wanawake wengi kuliko wanaume.


Nilisikia habr za fununu walivishana pete baadae tena.



Avoid mwanamke mwenye mtoto, waigizaji sana ila ipo siku atakuumiza balaa had ustashangaa na kujifanya unajua kukamatia walojazwa watoto
Maisha ya hovyo sana, kwa mtu anaeingia mahusiano ya hivo ni kama unadate na limtu la mtu teh
 
Back
Top Bottom