Kuwa kwenye mahusiano na wanawake wengi bila kujuana ni kipaji

Kuwa kwenye mahusiano na wanawake wengi bila kujuana ni kipaji

SISIS

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2019
Posts
10,892
Reaction score
3,112
Kuwa na michepuko mingi na uweze kuimanage isijuane ni kipaji aisee.

Vile vile nilichoexperience wanawake ukiwaendekeza wanafilisi, usipokuwa makini hutofanya maendeleo, mimi huwa napiga na kusepa siweki kambi, ila jifanye kuweka kambi kwa wanawake 4 uone mbungi lake.[emoji23][emoji23][emoji355]️
 
Kuwa na michepuko mingi na uweze kuimanage isijuane ni kipaji aisee vile vile nilichoexperience wanawake ukiwaendekeza wanafilisi usipokuwa makini hutofanya maendeleo, mimi huwa napiga na kusepa siweki kambi ila jifanye kuweka kambi kwa wanawake 4 uone mbungi lake[emoji23][emoji23][emoji355]️
Mimi hua siwezi kupiga na kusepa, lazima niweke kambi. Cha maana ni kujua jinsi ya ku deal nao bila kutoa hata senti tano.
 
Sasa kupiga na kusepa ndio mtindo gani mpya? buloo tafuta hela ukifata wekeza ili upate hela isiyokauka sio unategemea upige day work afu uweke kibanda yatakukuta ya yule bwana
 
Mimi hua siwezi kupiga na kusepa, lazima niweke kambi. Cha maana ni kujua jinsi ya ku deal nao bila kutoa hata senti tano.

Bila hata kutoa senti
Tano labda uwachonge mwenyewe
 
Kuwa na michepuko mingi na uweze kuimanage isijuane ni kipaji aisee.

Vile vile nilichoexperience wanawake ukiwaendekeza wanafilisi, usipokuwa makini hutofanya maendeleo, mimi huwa napiga na kusepa siweki kambi, ila jifanye kuweka kambi kwa wanawake 4 uone mbungi lake.[emoji23][emoji23][emoji355]️
Hahaha
 
mwanamke akijua una hela hakuombi maana anaanza kukupenda automatically so ili kuepuka kuachwa anaficha makucha yake ila akijua huna au unazo za mawazo basi utaombwa mpaka hamna rangi utaaacha kuona

mfano jiulize kwanini wanapenda wanaume wenye gari iilhali wanajua hawawezi kumilikishwa izo gari?

moral of the story: mwanamke anaekupenda kuliko akuombe hela bora ameze shoka

ichukue iyo.!
 
Back
Top Bottom