Kuwa mjasiriamali ni wito

Kuwa mjasiriamali ni wito

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Jaribu kupiga mahesabu:-​
  • Unatakiwa uuze viberiti vingapi ili upate milioni moja kama faida?​
  • Unatakiwa uuze pipi tofi n.k ngapi ili upate milioni moja kama faida?​
  • Unatakiwa uuze pakti ngapi za chumvi ili upate milioni moja kama faida?​
  • Unatakiwa uuzemiche mingapi ya sabuni ili upate milioni moja kama faida?​
  • Unatakiwa uuze mifuko mingapi ya simenti ili upate milioni moja kama faida?​
  • Unatakiwa uuze tani ngapi za nondo ili uweze kupata milioni moja kama faida? n.k​
Kumbuka pia, kuna gharama za uendeshaji jumlisha kodi n.k

Tuwaheshimu waliopo kwenye ujasiriamali.​
 
Maisha hayako Fair kabisa. Mjasiriamali mpaka ahangaike hivyo. Ila mdangaji akiwa na tako lake kubwa anao uwezo wa kuingiza 1m+ toka kwa sponsa mmoja tu🤣
Ni kweli sasa tujiulize, inakuwaje hao wazalishaji wanakuja kuwa matajiri kuliko hawa wanaopokea mishahara na posho?
 
Mbali nakuwapa respect, wajasiriamali wote chukueni maua yenu kwa kuleta solution ya matitozo mbalimbali hakika mungu awabariki
Wamesaidia sana katika kuboresha ubora wa maisha; watu hawatembei peku, wanatumia vyombo vizuri kulia vyakula, afya zinaimarika n.k
 
Ujasiriamali wahitaji kujikana,kuna wakati itakubidi ujitese wewe na wanaokutegemea ili lengo litimie,inakubidi uwe Mpole ktk baadhi ya watu japo dhihaka zina umiza,watu unaowazania ni msaada kwako watakutenga pindi unapoanza,ujasiriamali ni uhalisia thabiti wa usemi “Strong man shade blood before shading tears”,,kudos to all successful entrepreneurs
 
Back
Top Bottom