Kuwa mpinzani sio ujanja na kuwa CCM sio ujinga , bila fair political battle ground chuki itatumaliza

Kuwa mpinzani sio ujanja na kuwa CCM sio ujinga , bila fair political battle ground chuki itatumaliza

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
CCM , CHADEMA,NCCR MAGEUZI na vyama vingine vyote vinaundwa na watanzania ingawa hawa watanzania wanakuwa na mitazamo tofauti kulingana na sera za vyama vyao .

Kipindi nakua nlikuwa naichukia sana CCM na kuwaona wale walio upinzani ndio wa maana sana ,nlikuja gundua yale ndio yalikuwa mawazo ya sisi wapinzani wengi .

Nlikuja gundua hata wanaCCM hawapendi ona mpinzani anapita , sasa hii sio siasa ni uadui na chuki .

Chuki ni mbaya sana lakini hii ilijengwa baada ya kuonekana CCM inaidiwa na dola au mfumo katika mambo mbali mbali .

Chuki inafanya hata CCM wakifanya vizuri ukosoa , Chuki inafanya kila anachofanya mbowe,zitto au lissu kionekane kizuri .

Chuki inafanya akitekwa wa CCM au wa CHADEMA ufurahie

Chuki ndio chanzo cha hizi kuuana ,kutesana , kutekana kutokana na tofauti za kisiasa.

Kwa hali ilivyo bila political fairness hali itakuwa mbaya zaidi , Serikali itengeneza fair political battle grounds .​
 
The chief cause of human errors is to be found in the prejudices picked up in childhood.
 
Back
Top Bottom