Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
CCM , CHADEMA,NCCR MAGEUZI na vyama vingine vyote vinaundwa na watanzania ingawa hawa watanzania wanakuwa na mitazamo tofauti kulingana na sera za vyama vyao .
Kipindi nakua nlikuwa naichukia sana CCM na kuwaona wale walio upinzani ndio wa maana sana ,nlikuja gundua yale ndio yalikuwa mawazo ya sisi wapinzani wengi .
Nlikuja gundua hata wanaCCM hawapendi ona mpinzani anapita , sasa hii sio siasa ni uadui na chuki .
Chuki ni mbaya sana lakini hii ilijengwa baada ya kuonekana CCM inaidiwa na dola au mfumo katika mambo mbali mbali .
Chuki inafanya hata CCM wakifanya vizuri ukosoa , Chuki inafanya kila anachofanya mbowe,zitto au lissu kionekane kizuri .
Chuki inafanya akitekwa wa CCM au wa CHADEMA ufurahie
Chuki ndio chanzo cha hizi kuuana ,kutesana , kutekana kutokana na tofauti za kisiasa.
Kwa hali ilivyo bila political fairness hali itakuwa mbaya zaidi , Serikali itengeneza fair political battle grounds .
Kipindi nakua nlikuwa naichukia sana CCM na kuwaona wale walio upinzani ndio wa maana sana ,nlikuja gundua yale ndio yalikuwa mawazo ya sisi wapinzani wengi .
Nlikuja gundua hata wanaCCM hawapendi ona mpinzani anapita , sasa hii sio siasa ni uadui na chuki .
Chuki ni mbaya sana lakini hii ilijengwa baada ya kuonekana CCM inaidiwa na dola au mfumo katika mambo mbali mbali .
Chuki inafanya hata CCM wakifanya vizuri ukosoa , Chuki inafanya kila anachofanya mbowe,zitto au lissu kionekane kizuri .
Chuki inafanya akitekwa wa CCM au wa CHADEMA ufurahie
Chuki ndio chanzo cha hizi kuuana ,kutesana , kutekana kutokana na tofauti za kisiasa.
Kwa hali ilivyo bila political fairness hali itakuwa mbaya zaidi , Serikali itengeneza fair political battle grounds .