Kuwa mshabiki au mwanachama Wa Simba au Yanga

Nnko

Member
Joined
Aug 26, 2009
Posts
97
Reaction score
20
Eti wakuu , kuna haja gani kuendelea kuwa mshabiki tuu Wa Simba au Yanga wakati kuna option ya kuwa mwanachama hata kama uko mikoani ???



Kwanini usichukue hatua ya kuwa mwanachama kamili upate Kadi ya ATM yenye Rangi ya timu yako ???


Mbeya City mpooo?????



Hamkuachwa nyuma jiungeni Leo !!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…