Abdul Mkwayu
Member
- Jul 7, 2018
- 53
- 73
Swala la Uzalendo Tanzania ni zaidi kujitoa muhanga yaani Kila sekta inakatisha tamaa.
Mara huku Rushwa, Miundombinu mibovu kibaya zaidi siku hizi Kumeibuka maradhi Mapya TAIFA STARS.
TAIFA STARS inarudisha nyuma sana jitihana za Uzalendo Tanzania kiasi kwamba Watanzania tunajiona Kama tumelaaniwa hivi.
Sawa kuna sababu za kimpira lakini kwa mbinu hizi za mechi za ugenini za Kocha Amunike anaweka Rehani uzalendo wetu kama Watanzania.
Mara huku Rushwa, Miundombinu mibovu kibaya zaidi siku hizi Kumeibuka maradhi Mapya TAIFA STARS.
TAIFA STARS inarudisha nyuma sana jitihana za Uzalendo Tanzania kiasi kwamba Watanzania tunajiona Kama tumelaaniwa hivi.
Sawa kuna sababu za kimpira lakini kwa mbinu hizi za mechi za ugenini za Kocha Amunike anaweka Rehani uzalendo wetu kama Watanzania.