Kuwa na maumivu sehemu ya siri kwa mwanamke kunasababishwa na nini????

bidodo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2013
Posts
217
Reaction score
90
USHAURI KUTOKA KWA RAFKI YANGU

Rafki yangu ni mwanamke mwenye umri wa 21. Tangu mwaka wa tatu huuu huwa ana hisi maumivu sehemu za siri akiwa na feeeling ya kumkumbuka boy wake wa Tanzania. Amestahamili ameshindwa, aliona aibu kuelezea lakini matatizo yanazidi? Sasa afanye nini ili ayo maumivu yapoteee au akamuone doctor. Nyege zikimjia huwa anapata maumivu akimaliza? ushauri wadau mii sina la kumwambia zaidi ya kumuona doctor.​
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…