Kuwa na msemaji asiyehusika uwanjani ni upuuzi

Kuwa na msemaji asiyehusika uwanjani ni upuuzi

instagram

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
2,118
Reaction score
4,863
Kumekuwa na tabia ya ajabu sijui ilianzishwa na nani ya vilabu kuajiri wasemaji ambao hawahusiki na mchezo uwanjani.

Vilabu vya wenzetu waliondelea huwezi kukuta mtu ambaye hausiki na mechi uwanjani akiongelea swala la club zaidi ya kocha na kapteni wa club au mchezaji ndo watu ambao huwa wanahojiwa na kupewa airtime na television na sponsors.

Ajabu huku kwetu unakuta mtu ambaye hata hausiki kwa lolote na mchezo uwanjani ati ndiyo msemaji wa club "nyoo nakuambia kesho nawafunga tatu au mniuwe" , wewe kama nani unaongea vitu havikuhusu? Hizo tambo wangeongea kina mayele au chama wewe ni nani unatoa ahadi ambazo huusiki nazo.

Tanzania tuna tatizo la kuwafanya watu wajinga wawe maarufu bila sababu.
 
I second you nilishawahi sema hili
Hiyo nafasi haina umuhimu wowote
 
Relux boss!
Unaleta uzungu Tz, ungekua serious usingeyaona hayo ila kwa sababu unafuatilia bas tofauti ya ww na aggysimba ni kimo tu
 
Relux boss!
Unaleta uzungu Tz, ungekua serious usingeyaona hayo ila kwa sababu unafuatilia bas tofauti ya ww na aggysimba ni kimo tu
Uzungu ndiyo nini? Kwani club zilizoendelea zina wazungu pekeyake?
 
Kwan wanavunja sheria yoyote ya Fifa??
Sio ajabu kua tofauti na huko ulaya, huku kwetu hao wahamasishaji wanahitajika sana kwa ajili ya hamasa kwa mashabiki na wachezaji pia.

Huoni amsha amsha za mashabiki sometimes hata kwa mechi ndogo tu, kina Masau Bwire wamezifanya klabu zao kua maarufu zaidi ya mwanzo.
 
Hakuna timu ya Ulaya haina Msemaji wake hakuna.
Makocha wanaongea kuhusu game tu na sio mengineyo.

Screenshot_20230509-184932_LinkedIn.jpg
 
Back
Top Bottom